Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Pole sana Dada yangu,
Mwanamume wa kweli,apigi mwanamke,anapambana na maisha,mke akikula,hata akichepuka,achana nae,kisheria sepa,sio kumpiga,
Shish baby,huyo mwamume,hakuwa wa kiwango chako,ulistahili mwanamume bora wa kiwango cha juu,cha Tanzanite,huyo uchebe ,kiwango chake ni udongo wa mfinyanzi,wakati wewe ni Tanzanite,
Wanamme wengine hawajuhi bahati,Mwanamke,anapesa yake,unashindwa kuturia,na sina shaka sababu ya yote,uchebe ana low self esteem,akikuangalia ulivyopiga hatua kiuchumi,harafu yeye hata robo hajafika,anakosa Amani,chuki inaingia,suluhisho pekee,alilonalo ili akutawale,ni huo unyanyasaji,
Fukuza kabisa huyo Mbwa,
 
Ila hii ni fundisho kwa sisi vijana tusipende slope. Nimewahi kuwa na demu ana hela mimi nikiwa niko chuo naishi kwa masela tu nakula dagaa demu yuko vyema sana
Ananipenda kweli na pesa ananipa but

Alikuwa ananiendesha mno,kutombewa pia ilikuwa kawaida utasikia leo twende club basi baby.club anajua huwezi mudu vinywaji so unabaki kununuliwa demu wKo anashikwa tako aweee nikaona ufala nilitoa uchebe style siku moja kichapo kitakatufu adabu ilimjia vizuri!hawa viumbe ukiwa huna hel wanaweza kutombwa mbele yako kwa kisingizo anakutafutia

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
hahahah Naona huyo demu amepata size yake,yeye si alikuaga anakapa kichapo heavy ka nuhu mziwanda mpk kanakimbilia barabarani,Ustaadhi Uchedi style yake ya kushtua kwa ngumi usingizini sijui alifundishiwa dojo gani.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka sana na hii comment yako japo haichekeshi wallah[emoji23]
 
hahahah Naona huyo demu amepata size yake,yeye si alikuaga anakapa kichapo heavy ka nuhu mziwanda mpk kanakimbilia barabarani,Ustaadhi Uchedi style yake ya kushtua kwa ngumi usingizini sijui alifundishiwa dojo gani.
Daa kwahiyo kapata sahizi yake, kwahiyo dogo mziwanda anachekea juu ya paa!
 
Hakuna kosa kubwa kwenye kesi za ndoa kama kusikiliza upande mmoja, ili kubalance ilibidi tujue sababu kuu ya hicho kipigo ili tupate kutoa maoni kikamilifu
 
Karma is whaaat?? nadhani nuh mziwanda huko aliko leo kapombeka balaa full kushangweka, in a nutshell, enyi wanawake tunawapenda hatuwezi kuishi bila nyinyi lakini ikitokea mmetuzidi uchumi kidogo acheni DHARAU maana bila sisi nyie HAMPO hii ni nature cha msingi tuheshmiane na tusaidiane pale inapobidi.
 
Hakuna kosa kubwa kwenye kesi za ndoa kama kusikiliza upande mmoja, ili kubalance ilibidi tujue sababu kuu ya hicho kipigo ili tupate kutoa maoni kikamilifu
Kipigo hakihitaji kusikilizwa, swali kampiga hajampiga? Sababu ya kumpigia haina mashiko tena,

Mwanaume na misuli yako imekuchachamaa mikononi unanyanyua na kumpiga mwanamke!! Hapana haikubaliki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wanawake hatuwezi kuishi nao, hata kwa akili hatuwezi. Ni bora ukaachana nae utafute furaha nyingine tu huko.
 
Tunakuelewa Hali yako kidogo Ila akikushinda mpe talak yake dunia ikamfunze huko . Wew huna haki yakumpiga mwenzio btw wakiwa na hela mnasema wakiwa hawana mnawanyanyasa na kuwasema kuwa nj magolikipa jema ni lipi Sasa[emoji38]
 
Duh! mbona hiko kipigo Kama anaua mwizi sisi wanaume tuna kwama wapi? Unampiga mtu mzima mwenzako Kama mtoto kweli?
Huwajui wanawake mwanangu, inawezekana mchizi anajilaumu kwa kutembeza kichapo namna hiyo, we unadhani mwanamke aliezaliwa na kukulia uswahilini kama shilole hana maudhi? kuna maudhi mengine yanavumilika kidume huwezi kurusha hata kibao let alone kujibishana nae, tatizo mdomo mademu wana maneno machafu sana usikute demu ndo alimuomba mchizi waishi kwake demu, we unakubali kwenda kwake kiroho safi kwa upendo tu anakugeuzia kibao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…