Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

πŸ˜…πŸ˜…πŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ kama kuna kaukweli lakin kwa upande wangu.
 
It’s your property ila kama nyumba unavyoipandia maua ipendeze na gari kulifanyia service kulisafisha liendelee kuvutia hivyohivyo yapasa kwa mke, kama vile hubondibondi gari na kung’oa madirisha ya nyumba yako nzuri ndivyo wapaswa kutompiga mke na kumng’oa meno

So yes a wife is a precious property
 
Zaman enzi za manabii utajiri wa mtu ulihesabiwa hadi kwa idadi ya wake na watoto alionao.
So naweza kukubali kua mke ni propert ya mume ndio maana ni wajibu wa mume kuitunza property hiyo
 
Naandika uzi huu nikiwa na hasira,uchungu na kisirani mpaka nahisi kichwa kuwaka moto natetemeka na jazba hadi kifuani nimebanwa..natype hapa vidole vinatetema pia why coz karne ya 21 bado kuona kuna madume yenye vichwa viwili yanapiga wanawake,shame on them..

Mwanamke kwanza hakosei therefore hapigwi..kwa sie wenye title zetu tumebahatka kukanyaga 'western world' huko hata ukimtusi mwanamke acha kumpiga lupango inakuhusu not less than 3years..

Mwanamke hata akikucheat unabembeleza,akinuna mpetipeti,akitaka hela uza hata nyumba kopa benki mpe so inshu za kupiga loo..yan atokee mwanaume aniguse ata kwa kidole aone mziki wa kichwaBOGA Mtoto wa mjini asiye na chembe ya ujinga atasahaulika...mkomeeee..last warning
 


Are you sober in this moment in time??!--- usituletee mambo ya ulaya huku ni Africa.

Huko ulaya hata ukimtusi shoga kwa ushoga wake unahukumiwa na kufungwa, uchafu wa huko usituletee huku Africa.
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Kwamba mke wangu katoka kucheat amerudi nyumbani kamwagiwa cum deep inside zinamvuja then nipige magoti nianze kuomba msamaha na kumbembeleza.... Dumbest thread ever
 
Yeye Dr.Kumbuka kwa vile ana kipaji cha kuchambana na wanawake wakitofautiana anahisi wanaume wote tuna vipawa hivyo. Wengine hatupendi kelele, maumivu yakizidi ni nakozi za abuja tu!

Hapo Muamuzi mbio!!!
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Kwamba mke wangu katoka kucheat amerudi nyumbani kamwagiwa cum deep inside zinamvuja then nipige magoti nianze kuomba msamaha na kumbembeleza.... Dumbest thread ever
Ukisikia wanawake wako emotional on judgment ndio hivyo. Wao hawaangalii kiini cha tatizo! Wanajikuta wanahukumu tu kama vile Uchebe ana cheti cha milembe.
 
True mkuu, maeneo haya yanaonekana ni most failure kwa taifa letu na kadri siku zinavyokwenda hali inazidi kuwa mbaya sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…