Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,935
kuachana haitoshi.ni kuachana na kipigo juuHakuna anaehukumu kwamba Uchebe ndo kakosea sana, ila hata kama Shishi alikuwa anachepuka kumpiga ndo ilikuwa suruhisho?
Kwanini Uchebe asingetumia njia zingine hata kuachana pia ilikuwa bora, maana hata sasa pamoja na kumpiga bado wameachana
Sasa si bora wangeachana tu kwa amani!!!
hiyo apartment inapangishwa?Si unakumbuka shyshy ilipokuwa block41 Kino, wengi walijua yeye anapamiliki eneo lile kumbe kapanga
Si umeona watu wakamtoa na Sahv pameinuliwa gorofa apartment na wenye kisu
Hawa wasanii Wana fake sana maisha
Ova
anazingua nini huyoo?Kuna mwingine hapa namuona ona analeta mambo ya ajab ajab..muda si mrefu nitamkata vikombe vya maana nimuumue kama shilole,maana analeta dharau..
Nlibahatika kwenda kwenye sehemu yke wkt huo yupo blok 41 kwanza akilewa Ana tlk shyt, kila meza anaivamia apewe mzinga wa pombeWatu tu hawajui anaemng'ang'ania mwenzake Ni shilole , Kuwa mdadisi utaelewa hili ninalokwambia . Shishi ndio anamtaka uchebe.
Hizi issue za Shishi Kupigwa huku kitaa tunazijua kitambo sana ... Shishi anapigwa kweli na uchebe muda mrefu ila alikuwa hataki kuachana na uchebe unajua kwanini ? ... Uliza utajua. Shilole ni muhuni na mwanamke asie na staha.
Siku uchebe akiongea utaelewa ninachokwambia.
Ngoja niishie hapa.
kwa hiyo wapigwee tuuuu au siooIla wadada siye kwa midomo michafu na jeuri Tu hatuna mpinzani,kiukweli tubadilke na tulivo walalamishi sasa... Yaani na ukikuta kamzidi mmewe kipato baasi hali inakua tete haswaa kwenye mahusiano na hata ndoa wanawake wengi tuna dharau
Mara ya mwisho kupita Nliona wko kwny finishinghiyo apartment inapangishwa?
sehemu gani nzuri kupanga chumba kinondoni pawe pa kishua kidogo na eneo la kupaki gariMara ya mwisho kupita Nliona wko kwny finishing
Sijui kwa Sasa itakuwa tayari...
Watakuwa wanapangisha
Ova
[emoji1787] [emoji1787] Mkuu shida ni nini kakuzidi kipato au?Kuna mwingine hapa namuona ona analeta mambo ya ajab ajab..muda si mrefu nitamkata vikombe vya maana nimuumue kama shilole,maana analeta dharau..
Mihayo na usomi wake wote alipiga mke mbele ya watoto.Uchebe amesema kipigo hicho ni cha siku nyingi
Unakumbuka kisa cha mihayo....
Ova
Sawa, issue ilitokea kitambo baada ya kutoelewana sjui talaka mwanamke ndy akaiachiaMihayo na usomi wake wote alipiga mke mbele ya watoto.
Kumbe taarifa alikuwa anatoa!! Sasa mwanaume ngebe ya nini[emoji1745][emoji1745][emoji1745]Naunga mkono hoja.
Shilole alishasema alikuwa anawatafutia wanawe na yeye (uchebe) yeye atulie tu mwanamke alikuwa anaitafutia familia yake mahitaji.
Safi sana wewe unga mkono hoja kutupiga na pesa.Sawa, issue ilitokea kitambo baada ya kutoelewana sjui talaka mwanamke ndy akaiachia
Na mpk kumpiga hujui jamaa lbda alidhindwa vumilia
Ujinga... (ila siungi mkono kupiga mwanamke)
Ova
Tatizo waislam hawaupdate dini yao.uislamu unaruhusu mwanamke kupigwa sheikh kaleleza hapa uchebe oyeeeee
Ndugu katibu kwa kifupi ni kwamba wanalia lia tu hata pesa za matibabu hakuna. Badala watupige na pesa eti wanataka kuhalalisha kutupiga mangumi kisa akili na pesa hawana[emoji134][emoji134][emoji134]Ndugu mwenyekiti nina kinaendelea hapa? Comments 900.
Hawa wanaume wa humu wamemchangia shilole hela ya matibabu?
sasa ulaumu uislamu usimlaumu uchebeTatizo waislam hawaupdate dini yao.
Mambo mengi sana wanatumia ya karne za nyuma.
Aaah kabisa, pesa hawana eti na akili pia hakuna[emoji134][emoji134][emoji134][emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Tuchapeni na hela kenge nyieView attachment 1502878
Sijamshangaa uchebe.sasa ulaumu uislamu usimlaumu uchebe
uchebe ni muislamu na quran inaruhusu wanawake kupigwa.nikushangae unayepinga maandiko ya dini isiyokuhusu.wewe ni nani upinge maandiko ya waislamu?? waislamu wakusikilize wewe au waisikilize quran?Sijamshangaa uchebe.
Nimemshangaa sheikh.
Lakini nimekushangaa zaidi wewe kuleta hapa habari ya sheikh kusema uislam unaruhusu kipigo.
Pumbavu zako, wewe na familia yako ndio hamna akili. Huwa sipendi dharau, ukubwa au udogo wako hauna tija kwangu, kuwa na nidhamu.Dah.... Aisee! Mtu mwenyewe sasa unaesema tuishi nao kwa akili, akili zenyewe hauna.......
Ila ngoja ukishakuwa mkubwa hizo akili za utoto zitakutoka zitakuja za kikubwa.... Ukijakusoma comment yako mwenyewe utaweza kutapika....