Baljurashi
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 1,628
- 2,720
Unachojaribu kukifanya wala hakitokusaidia. Wala hakijawahi kuwasaidia watu mfano wako waliopita. Allah akuongoze.uchebe ni muislamu na quran inaruhusu wanawake kupigwa.nikushangae unayepinga maandiko ya dini isiyokuhusu.wewe ni nani upinge maandiko ya waislamu?? waislamu wakusikilize wewe au waisikilize quran?
Anapenda sana kusemaga hvyoUnachojaribu kukifanya wala hakitokusaidia. Wala hakijawahi kuwasaidia watu mfano wako waliopita. Allah akuongoze.
Huyo kama Zoë , mwenye hayo mawazo ya ki BeijingNyie mnafikiri kuzidi kipato kunawapa justification ya kujiamulia kumuheshimu mume au kutokumuheshimu? Hamna tofauti na yule anaekomaliaga eti mwanaume nae adeki na kuosha vyombo kama zamu kwa maana yeye mke anachangia pato katika familia.
Ukiwa huna adabu kwa mwanamume rijali lazma atakubunda tu!!! Jiheshimu umpe peace of mind mumeo, hatakaa akuwazie mabaya. Daima mtadumu katika amani.
Tatizo lenu wanawake wa kibongo mkishika hela na mali zaidi ya waume mnakuwa na roho ya unyanyasaji na dharau. Yani baba wa familia asihoji umelala wapi siku 2 mfululizo bila taarifa.
quran inasema wanawake wapigwee wewe na quran yako nani yupo sahihi?Unachojaribu kukifanya wala hakitokusaidia. Wala hakijawahi kuwasaidia watu mfano wako waliopita. Allah akuongoze.
[emoji23][emoji23][emoji23]wale walishadadia sijui wataficha wapi sura zaoWamesameheana ke kawashukuru waliokuwa nae bega kwa bega kasema anampenda mume wake [emoji2][emoji2][emoji2]
Lilisemwa hilo [emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]wale walishadadia sijui wataficha wapi sura zao
[emoji16][emoji16][emoji16] uongo hilo la kumpenda umeongezeaWamesameheana ke kawashukuru waliokuwa nae bega kwa bega kasema anampenda mume wake [emoji2][emoji2][emoji2]
Kwamba ninyi mnaupdate?Tatizo waislam hawaupdate dini yao.
Mambo mengi sana wanatumia ya karne za nyuma.
Sikuongeza kitu mkuu, japo kageuka kinyonga huko, huyu ke hajitambui katika ndoa yake[emoji16][emoji16][emoji16] uongo hilo la kumpenda umeongezea
Kabisa huwa siingilii hata katika uhalisia nashangaa kwa huyu povu lilinitoka sijui ni kwa ule uso kuchakazwa [emoji2][emoji2][emoji2]Wanandoa wakigombana sio wa kuwaingilia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa huwa siingilii hata katika uhalisia nashangaa kwa huyu povu lilinitoka sijui ni kwa ule uso kuchakazwa [emoji2][emoji2][emoji2]
Corona ilituupdate.Kwamba ninyi mnaupdate?