Nyie mnafikiri kuzidi kipato kunawapa justification ya kujiamulia kumuheshimu mume au kutokumuheshimu? Hamna tofauti na yule anaekomaliaga eti mwanaume nae adeki na kuosha vyombo kama zamu kwa maana yeye mke anachangia pato katika familia.
Ukiwa huna adabu kwa mwanamume rijali lazma atakubunda tu!!! Jiheshimu umpe peace of mind mumeo, hatakaa akuwazie mabaya. Daima mtadumu katika amani.
Tatizo lenu wanawake wa kibongo mkishika hela na mali zaidi ya waume mnakuwa na roho ya unyanyasaji na dharau. Yani baba wa familia asihoji umelala wapi siku 2 mfululizo bila taarifa.