Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sawa.. Basi mtoe akilini ishi maisha yako.. Kuna mahali atajichanganyaNichape lapa kwenye mjengo wangu hii si haki jamani
Ila Chris brown nae.... Sasa unaanzaje kumpiga Rihanna, me ningempa mimbaNyuzi za hii mada zinazidi kutiririka tu kama mvua. Siamini kama kuna sababu inayohalalisha kumpiga mwanamke (kiasi hiki). Angeweza kumuua kabisa.
Mambo yakifikia kiasi hiki nadhani ni afadhali tu kuachana - hata kama ni kwa muda ili kurekebisha mambo kama inawezekana.
View attachment 1501155
Duu😳Yalimo Yamo!!!
Unaweza Kuona Watu Wameyapatia Kumbe.
Story Za Hawa Mnawaita Stars
Ndiyo Wanagongwa Tu Wakitafuta Maisha Nafuu
Hayajamkuta mkuu, Mimi hata ningesikia kamkata mguu nisingeshangaa sana, mapenzi bhana acheni tu.. mke wa brother mambo anayoyafanya na Hua naona Hua nasikitika sana sema ndio vile ukipendi huoni brother kafa kaozaHayajakukuta mzee usiseme hvyo hujui alichokifanya huyo na huenda ukikifahamu unaweza kusema kwann asingemvunja ata mkono. Hawa wanawake hawa nadhan waliooa au wanaoishi na wanawake kwa mda mrefu watakuwa wananielewa
Kwani hujui mwanamke ananoga kila sector..!! Yaan yeye mwenywe na mali zake pia..Huyo uchebe hajakamilika mkuu, angekamilika asingependa kitonga, umarioo una gharama zake.
[emoji23][emoji23][emoji23]Huwa nachukia sana nikiona mwanaume mwenzangu anapiga mwanamke. Hivi tunashindwa kuishi nao kwa akili?
Mwanamke akipigwa ni sunna njoo Tarime, nyie chongeni weee kesho mtakuta wamerudiana nani anaonekana mjinga si ni wewe!Mwanamke hakomolewi wewe, acha ujinga.
Hapo aliepoteza ni huyo marioo uchebe.
Hilo lipo wazi. Wanawake wafanye kazi ndio ila hata akiwa na mamilioni uchumi wa familia hakikisha mwanaume unachangia 98%. Kinyume na hapo kubali kutawaliwa na kufananishwa na jikeshupa.😅Ukipenda kitonga ujiandae na kuchapiwa, mji hautaki hasira huu.
Kazingua haswaaTumalizie tu kwa kusema, Uchebe kazingua
Tena mbaya zaidi ndio anakutunza!!!!?? Ukikubali kutunzwa na mwanamke, wivu lazima uwe 50-,kama ukiweza ndio mtaishi salama.Aisee! Hivi mwanaume uliyekamilika unapataje nguvu za kumpiga mtoto wa kike namna hii???
[emoji2][emoji2][emoji2] asije akawa kapewa dawaHayajamkuta mkuu, Mimi hata ningesikia kamkata mguu nisingeshangaa sana, mapenzi bhana acheni tu.. mke wa brother mambo anayoyafanya na Hua naona Hua nasikitika sana sema ndio vile ukipendi huoni brother kafa kaoza
[emoji23][emoji23][emoji23] umetisha mkuuKama huna hela kumzidi mkeo huo ni uzembe wako sio wake.
Kama huwezi katafute masikini mwenzio.
Kama inakuuma sana wanawake kuwa na vipindi kwenye media, njoo tukuweke ndani na wewe utetewe kwenye media.
Sisi WANAUME hatutaki hivyo vipindi na hatupigi mwanamke.
Siungi mkono kudundwa hata hivyo angeweka wazi kwanini kadundwa. Hakuna mwanaume mkorofi mbele ya mke mtiifu.
Wakumkojoza wapo wengi mjini, kama alivyotoka nuhu, akaja yeye unaweza ukakuta saizi ni zamu yako na wewe, ila ujipange umarioo una gharama zake.Kwani hujui mwanamke ananoga kila sector..!! Yaan yeye mwenywe na mali zake pia..
Acha kidume ale, si alitaka mwenywe damu mbichi ili akojozwe vingi.
Sasa achague kati ya kuacha kukojozwa au kuendelea kukojozwa