Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasemwa ni mlevi Sana addicted pia ana tabia ya kuchepuka mbaya zaidi huwa ANAGEUKA KIDUME NDANI YA NYUMBA.Huyu mwanamke kila mwaka anaolewa
Haya mambo hayakukuti kirahisi inabidi uwe na ujasiri kuliko wa late Dida. Muombe Mungu utampata wa kuzeeka naye.Naweza mcheka shilole Leo kesho yakanikuta.
Na yeye ndo huwa anaacha, haachwi ila anaacha.!Huyu mwanamke kila mwaka anaolewa
Kulamba kinembe tu.Ya tatu kwani ile na uchebe ilikuwa ya ngapi, halafu hivi hawa vijana wanawapaga nini baadhi ya wanawake hadi wanafikia hatua ya kuwalea, yani kuna vitu tunaweza kuona ni kawaida na ni mapenzi ila kumbe ni ukichaa kama ukichaa mwingine tu
Shilole ndio nani?
Ndoa zake zinatuhusu nini sisi hapa?
Kweli bwana mambo haya hayana fomula.Naweza mcheka shilole Leo kesho yakanikuta.
ApiaMwaka 2020 ilikua kidogo niichukue hii mali kabla yayule mpiga picha, kuna michezo alinileteaga hakuweza kuweka sawa mapema nikamtupa mazima. Anapenda sana vijana wadogo hata kama yupo kwenye ndoam
Vijana wanajilipua TU na umeme WA REA😁Shilole anawasambazia umeme vijana majoless
Halafu unakuta aliyeandika habari hii ni mwanaume.Msanii na mfanyabiashara maarufu, Zuwena Mohammed, anayefahamika kwa jina la kisanii Shilole, amevishwa pete ya uchumba na mpenzi wake mpya usiku wa kuamkia leo, Desemba 23,2024
Tukio hilo lilifanyika katika hafla ya kifahari ya kusherehekea siku yake ya kuzaliwa katika eneo la Kijitonyama, Dar es Salaam.
Iwapo Shilole ataamua kufunga ndoa, hii itakuwa ndoa yake ya tatu, baada ya ndoa zake mbili za awali kuvunjika. Ndoa yake ya pili ilivunjika rasmi Juni 2024, takribani miezi sita iliyopita.
Hafla hiyo ilihudhuriwa na watu wa karibu, huku Shilole akionekana mwenye furaha tele, ishara kwamba amepata ukurasa mpya wa furaha maishani. Mashabiki wake wanatarajia mengi kutoka kwa msanii huyo, ambaye pia ni mmiliki wa migahawa maarufu ya Shishi Food.
View attachment 3183111
Ahahah uyo shangazi wa kulea vijana hasa malast bornsiwezi comment bila kumwona Nifah Mwachiluwi
Uwongo, shilole anapenda vijana wenye mvuto kwake.Shilole anawasambazia umeme vijana majoless