Shilole avishwa pete ya uchumba, ndoa ya tatu yanukia

Ya tatu kwani ile na uchebe ilikuwa ya ngapi, halafu hivi hawa vijana wanawapaga nini baadhi ya wanawake hadi wanafikia hatua ya kuwalea, yani kuna vitu tunaweza kuona ni kawaida na ni mapenzi ila kumbe ni ukichaa kama ukichaa mwingine tu
Hivi unalijua Ganda la ndizi mkuu
 
Mwaka 2020 ilikua kidogo niichukue hii mali kabla yayule mpiga picha, kuna michezo alinileteaga hakuweza kuweka sawa mapema nikamtupa mazima. Anapenda sana vijana wadogo hata kama yupo kwenye ndoam
Kwa sasa anapendelea vitoto vya 2005 mpaka 2010, anadai vina joto zaidi na hawajuwi kitu wao kazi kulała tu kifo cha mende na hawanaga usumbufu.
 
Huyu mtoto wa 2015 ana ubavu kweli, ategemee kushushuliwa siku analala mpaka saa tatu asubuhi baada ya kumchapa Shilole bao 5 za nguvu. Ataandikwa Insta na kutukanwa huku akichapwa na mkewe kuwa mwanamme mvivu hana lolote. Ajiandae tu kisaikolojia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…