Shilole: Mimi ndiye mwanamuziki mrembo zaidi kwenye muziki

Shilole: Mimi ndiye mwanamuziki mrembo zaidi kwenye muziki

ha ha
kachoka sana huyu bibi aiseee, bora hata kichwa maji wepa sepenga ni mzuri mzuri
Huyo hapo!
images
images
images
upload_2016-5-4_16-19-46.jpeg
 
Ngoja Nuhu Mziwanda aje kutupa majibu wakiamka asubuhi huyu mama huwa anaonekana vipi
 
Anauzuri gani huyo..ta*****ko linambonde mabonde baya tangu nione video yake moja instagram anacheza duh ni aibu
Shilole hauna uzuri wowote njoo mikoani uone totoz
 
Shilole-2.jpg



Shilole amejigamba kwa kudai kuwa hakuna msanii mzuri kama yeye, kwani ana uzuri wa asili bila vipodozi.
Alikuwa akizungumza katika kipindi cha 5SELEKT cha EATV Jumanne hii.

“Mimi ni mwanamke mzuri without make up (bila vipodozi), unaweza ukaniamsha usingizini na nikaenda popote bila makeup, katika Bongofleva mimi ni mwanamke mzuri sana hamna anayebisha,” alisema Shilole.

Katika hatua nyingine Shilole amekanusha kutoka kimapenzi na msanii Nedy Music, baada ya kuzagaa picha katika mitandao ya kijamii zikimuonyesha wakiwa karibu zaidi na msahii huyo.
ni kweli anashawish kwa mbali kumpigia puli ofisini ngoja ntunze picha yake[emoji4] [emoji4]
 
Hivi kale kabinti kanakoendesha kipindi cha 5 select kana miaka mingapi!!!?
 
Shilole-2.jpg



Shilole amejigamba kwa kudai kuwa hakuna msanii mzuri kama yeye, kwani ana uzuri wa asili bila vipodozi.
Alikuwa akizungumza katika kipindi cha 5SELEKT cha EATV Jumanne hii.

“Mimi ni mwanamke mzuri without make up (bila vipodozi), unaweza ukaniamsha usingizini na nikaenda popote bila makeup, katika Bongofleva mimi ni mwanamke mzuri sana hamna anayebisha,” alisema Shilole.

Katika hatua nyingine Shilole amekanusha kutoka kimapenzi na msanii Nedy Music, baada ya kuzagaa picha katika mitandao ya kijamii zikimuonyesha wakiwa karibu zaidi na msahii huyo.


Ame expire tayari, yeye anafikiri uzuri ni kule kujichubua na kuota ndevu....Bongo kuna vitoto bwana, wacha kujipa ujiko wakati watu washakuchoka. Tuache tujipigie warembo sie hatutaki makombo ya bongo fleva na ustaa uchwara wao.
 
Jamani kwani mtu akijisifia mzuri ni ugomvi? Au ndo ule msemo subir usifiwe usijisifie
 
Shilole-2.jpg



Shilole amejigamba kwa kudai kuwa hakuna msanii mzuri kama yeye, kwani ana uzuri wa asili bila vipodozi.
Alikuwa akizungumza katika kipindi cha 5SELEKT cha EATV Jumanne hii.

“Mimi ni mwanamke mzuri without make up (bila vipodozi), unaweza ukaniamsha usingizini na nikaenda popote bila makeup, katika Bongofleva mimi ni mwanamke mzuri sana hamna anayebisha,” alisema Shilole.

Katika hatua nyingine Shilole amekanusha kutoka kimapenzi na msanii Nedy Music, baada ya kuzagaa picha katika mitandao ya kijamii zikimuonyesha wakiwa karibu zaidi na msahii huyo.



Mrembo???

Na ilo ndambi lake???
 
kwenye kipindi hicho Shilole alikimbia kabla ya muda baada ya wale watoto kumcheka alipomwita tbway beautiful wengi hawakulishtukia hilo
 
Back
Top Bottom