Shilole: Mimi ndiye mwanamuziki mrembo zaidi kwenye muziki

Shilole: Mimi ndiye mwanamuziki mrembo zaidi kwenye muziki

Hivi Shilole ni mwanamuzika au comedian? Hivi kwanza anamashabiki kweli?
 
Ila ukiangalia ni kweli...sidhani kama kuna mzuri zaidi yake...sema ye wa pili wa kwanza ni Menina.
Lets be honest mana mademu wanaoimba ni kama vanesa mdee huyo ndo mbaya kama mdoli...lady jaydee....haika navy kenzo...linah etc sasa kwa wasanii kama hao shilole si ndo mzuri kuliko?
 
Shishi u mrembo na una beibi face.
Cc. Manfongo
 
Kaishatumika sana uso ushaanza kuzeeka ndio maana anavidanganya vitoto vitoto vyenye pupa na maisha
 
Watanzania aisee hovyo sana wanajadili uzuri wa MTU asubuhi asubuhi daah
 
Shilole-2.jpg



Shilole amejigamba kwa kudai kuwa hakuna msanii mzuri kama yeye, kwani ana uzuri wa asili bila vipodozi.
Alikuwa akizungumza katika kipindi cha 5SELEKT cha EATV Jumanne hii.

“Mimi ni mwanamke mzuri without make up (bila vipodozi), unaweza ukaniamsha usingizini na nikaenda popote bila makeup, katika Bongofleva mimi ni mwanamke mzuri sana hamna anayebisha,” alisema Shilole.

Katika hatua nyingine Shilole amekanusha kutoka kimapenzi na msanii Nedy Music, baada ya kuzagaa picha katika mitandao ya kijamii zikimuonyesha wakiwa karibu zaidi na msahii huyo.
sio kwa maziwa hayo
[emoji276]
 
Back
Top Bottom