Shilole na Nuhu Mziwanda hakuna "Ndoa"

Shilole na Nuhu Mziwanda hakuna "Ndoa"

Oya Nuhu endelea kukamua huo mzigo, ikiwezekana muongeze watoto wengine wawili.
 
aongeze tatoo tu mbona shishi mwnyw atakubali...tena safari hii aongeze mbili moja usoni nyingine kwny dushe aoneshe shishi ndo mmiliki halali
 
Ndio maana Shilole kasema hivyoo lingekua pedejee la mjini angebadili bila hata kuulizwaa,hapana chezea ndoaaa

shilole nae km gundu ashatoa la ndoa zake za mwanzo sasa yv analisongesha kibingwa tuu
wanaume wenyewe km nuhu mbele hana,kati hana,nyuma hana km shipa
aende hukooo
 
shilole nae km gundu ashatoa la ndoa zake za mwanzo sasa yv analisongesha kibingwa tuu
wanaume wenyewe km nuhu mbele hana,kati hana,nyuma hana km shipa
aende hukooo

Jamani tattoo zote zile?
 
Sasa kama hawataki basi wawe hivyo BF & GF mpk wafe.
 
Back
Top Bottom