Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,819
si ndo walivyo mshahara tonge full kujifanya wana mahaba ya nyukii
pumbavvvv
Yani sometimes huwa nakaonea huruma maana kamejijaza tattoo wakati dada mwenyewe dakika mbele nyuma.........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
si ndo walivyo mshahara tonge full kujifanya wana mahaba ya nyukii
pumbavvvv
Huoni toto la america hapo juu alivyojieleza?changamkia fursa weyeeeee
Labda aongeze zingine hadi kwenye dushelele kuonesha msisitizo.
Hhhaaaaaaaaa gademn!! achore tattoo kama Nuhu
Tattoo kitu gani toto la america litaleta bmw....
![]()
IMEGUNDULIKA kuwa uhusiano wa staa wa Mduara, Zuwena Mohamed Shilole , na mpenziwe Nuh Mziwanda ni kazi bure kwani uwezekano wa kufunga ndoa kati yao haupo kutokana na kupishana imani. Ishu hiyo imejidhihirisha juzikati nyumbani kwa wawili hao Mwananyamala - Manjunju jijini Dar , baada ya paparazi wetu kuwaibukia na kutaka kujua malengo yao zaidi kama wana mpango wa kuoana au la, msikie kwanza
Nuh:
Mimi ninampenda Shilole kwa asilimia 100 , ila siko tayari kubadili dini kwa ajili yake maana kwetu ni wakristo na hapa naongea mama yangu ni mzee wa kanisa hivyo Shilole naamini anaweza kubadili maana mimi tayari nimeshafanya mengi sana juu yake.
Msikie Shilole:
Mimi siwezi kubadili dini maana Nuh ndiye alisema atabadili hata hivyo familia yangu haiwezi kunikubalia kubadili dini kwa ajili ya kufunga ndoa kama amesema naye hawezi kubadili basi tutaishi tu maana hata ndoa ya serikali yenyewe hawezi na maisha siyo lazima tuoane .
Nishapeleka kitambo, nimechukua screen capture nimemtumia whatsapp we jiandae tu akirud kipigo
Ahsanteee the american dream
Hhhaaaaaaaaa gademn!! achore tattoo kama Nuhu
Yaaaani mpaka napata goosebumps
Sasa ivi nataka akupe talaka tupige umbea vizur masaa 24
Ninazo nne ila moja haina mashiko kiviiiiileeeee imeandikwa MOB(Money Over Bitches).
Wweee umbea utanitombaa unajua msukuma anachonipa weweeeeeee,bora niache umbea sio kumuacha msukuma