Shilole na Nuhu Mziwanda hakuna "Ndoa"

si ndo walivyo mshahara tonge full kujifanya wana mahaba ya nyukii
pumbavvvv

Yani sometimes huwa nakaonea huruma maana kamejijaza tattoo wakati dada mwenyewe dakika mbele nyuma.........
 

hahah wanatupiana mpira wafunge ya kiserikali
 
Nishapeleka kitambo, nimechukua screen capture nimemtumia whatsapp we jiandae tu akirud kipigo

Kuna baridii akinidunda usiku simpii nakesha jf hadi asubuhiiiiii
Aliekuambia umtumie nanii,yaan bina kweli unataka nami nihangaike na vibwana kama Nuhu sawaa tu! !!!
 
Kuna baridii akinidunda usiku simpii nakesha jf hadi asubuhiiiiii
Aliekuambia umtumie nanii,yaan bina kweli unataka nami nihangaike na vibwana kama Nuhu sawaa tu! !!!

Sasa ivi nataka akupe talaka tupige umbea vizur masaa 24
 
Ukimuona mwanaume kakubali kubemendwa ujue amekata tamaa ya maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…