data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Yaani bado nnatafakari...Ahadi walizokua wakipewa wanawake ikiwamo ndoa,maisha mazuri, umaarufu n.k ndizo ahadi wanazopewa wanaume siku hizi! Kweli zama zimebadilika acheni Mwanamke aitwe mwanamke kwa kweli lol
Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli afukuze wavulana hawa mjini...wawafukuzie maporini hukoo