Lakini uchebe anasema hizo picha Ni za zamani Sana kabla ya kufunga ndoa na shishi so yeye mwenyewe anashangaGender based violence GBV au ukatili wa kijinsia ndio tatizo hapo
Hivyo Uchebe ajipange kisawasawa kupambana na askari wa dawati la jinsia. Otherwise nampa pole sana Shilole
Nikajua ni mimi tu ambaye sielewi. Maana uzi umekuja kama vile wote tunajua kilichotokea.Samahani, naomba kujuzwa kinachoendelea hapa.
Kutokana na Tz kuingia uchumi wa kati basi hapa wanagawa pesaSamahani, naomba kujuzwa kinachoendelea hapa.
Nini kimetokea MkuuNlijua tu hii itatokea Kuna watu fulani na mawaziri walishaanza kusemea tukio hili, Na huyo uchebe akifanya masihara anaweza kuwekwa lockup
Na kwa tukio lilivyo huyu mwanamke anaweza kumkomoa jamaa
Mambo mengine hayataki utatuz wa hasira
Ova
Oohh, mie nilifikiria kudhuru [emoji3][emoji3]Amekosea kidogo, alitaka kumaanisha KUZURU yaani kufanya ziara
Kuitwa polisi.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nini kimetokea Mkuu
Kisa mkasaKuitwa polisi.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Super woman😂😂Ndo yule jike shupa. ?