- Thread starter
- #21
kula tunda kwa wanandoa siyo shambulio la kudhuru"..ivi walipokuwa wakila tunda kimasihara, je kuna mmojawapo alikuja utangazia umma ladha ya tunda?..."
Mwanaume ishi na mwanamke kwa akili, ........ usijione wwe ndo wewe tuuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kula tunda kwa wanandoa siyo shambulio la kudhuru"..ivi walipokuwa wakila tunda kimasihara, je kuna mmojawapo alikuja utangazia umma ladha ya tunda?..."
Mwanaume ishi na mwanamke kwa akili, ........ usijione wwe ndo wewe tuuuu
Mambo ya ndoaKisa mkasa
HahahaKutokana na Tz kuingia uchumi wa kati basi hapa wanagawa pesa
Aahh kesi ya kujibu hana hapo Atatoa papa. Na hakuna ambaye atakaye muwajibishaYeah na Shilole ana kesi ya kujibu kwa kumficha muhalifu( accomplice)
Kuna watu watauliza; Je; mlalamikaji Ni Nani?
Kesi inayohusu "Public interest" Inayoonesha Kuna uharifu ambao unaweza kutafsiriwa tofauti na jamii lazima Jeshi la polisi lifanye kazi yake!
Maelezo ya Shilole Ni kielelezo namba moja Cha shambulio la kudhuru mwili ambayo yanaashilia uvunjifu wa amani!
Hivyo Jeshi la polisi litahakikisha linawahoji wapenzi hao na kuwafungulia mashitaka endapo watabainika kuwa na hatia!
kwani talaka hazipoTaarifa za chini chini ni kwamba shilole hajalala home siku mbili na anaulizwa anajibu jeuri ,jamaa akamgusa gusa tuu Wala hajampiga kivile,,,,
Ningekuwa Mimi saizi angekuwa kwenye friji ujinga sipendagi mie😣😣😣😣😣
Kuna mtu alimshambulia mzee flani kwa kumpiga sijui ile kesi kwanini ilipotelea hewani !!!Polisi wa tanzania hawaelewi wanafanyaje kazi. Kuna mambo makubwa ya watu kupigwa kushambuliwa tena viongozi wa upinzani utasikia hakuna mlalamikaji mara hatufanyi kazi kwa taarifa za mtandaoni.
Wonders shall never end.
Sema Uchebe kambetua haswa shilole asiponyea ndoo term hii basi ana bahati nadhani mke wa zamani wa uchebe aliyeachwa atakuwa anachekelea
Okay hata zikiwa ni za zamani bado Uchebe hakuwa na mandate ya kufanya hicho alichofanyaga.Lakini uchebe anasema hizo picha Ni za zamani Sana kabla ya kufunga ndoa na shishi so yeye mwenyewe anashanga
Na ikibainika shithole hana majeraha na alikuwa anatafuta kiki mitandaoni itakuwaje?Kuna watu watauliza; Je; mlalamikaji Ni Nani?
Kesi inayohusu "Public interest" Inayoonesha Kuna uharifu ambao unaweza kutafsiriwa tofauti na jamii lazima Jeshi la polisi lifanye kazi yake!
Maelezo ya Shilole Ni kielelezo namba moja Cha shambulio la kudhuru mwili ambayo yanaashilia uvunjifu wa amani!
Hivyo Jeshi la polisi litahakikisha linawahoji wapenzi hao na kuwafungulia mashitaka endapo watabainika kuwa na hatia!
ndio maana wanahojiwaNa ikibainika shithole hana majeraha na alikuwa anatafuta kiki mitandaoni itakuwaje?
Jr[emoji769]
Akizingua 'mlishe vitasa'.Wanaume huwa tunapeana sifa za kipuzi, utasikia demu akizingua mnase vibao... Ila mwanamke sio ngoma tumpige wakuu muwe mnatafakari kabla ya vitendo bya ukatili
mtu na hawala yakeNdio kina nani hao huko daslamu naona tangu jana mnawazungumzia wao tu.