The real Daniel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2017
- 2,117
- 7,899
Nafkiri utakuwepo hapa hapa wakati shishi anatangaza kurudiana na uchebe. Siku zote ndoa Ni ya wawili tu.Okay hata zikiwa ni za zamani bado Uchebe hakuwa na mandate ya kufanya hicho alichofanyaga.
Kumbuka Jinai huwa haina ku expire.
Ajiadae vizuri tu kupambana na askari waliobobea kwenye maswala ya Jinsia otherwise atapata taabu sana
Anahaki au hana haki, yote anayajua shilole.