Shilole ni mnafiki sana

Kama itakupendeza n kwa heshima ya Dada na Mama zetu waliopo humu naomba hiyo picha ambayo inaonyesha maziwa yake uiondoe mkuu
Kipi cha ajabu! mbona kwenye madaladala yapo mengi tu wananyonyesha, na wenyewe huyaacha hadharani kwa kuvaa sidiria za ku-boost?
Au unataka ushobokewe na mademu humu!
 
Hivi Konde boy hana haki sasa tangu ajitoe wcb ee?
 
Dah,picha zingine bhana zinaharibiana siku ila kweli zama zimebadilika mtu wa hivi kaolewa af wanaovaa kiheshima mtaani ndo wamekua madungaembe wanaosaka ndoa bila mafanikio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…