ask herMkuu mbona una mdhalilisha mwanamke mwenzio ??
Unataka kutuambia Dada zako/Mama zako wanatembea kifua wazi?Heshima ya nani seriously what is the problem with breasts?
Nyie ndio mnasema mama kutoa titi kumnyonyesha kichangaye ni indecency. Umeoversexualize.
Alikunyima ubwabwa au nini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shishbaby anauza ukoko sio ubwabwa.
Kipi cha ajabu! mbona kwenye madaladala yapo mengi tu wananyonyesha, na wenyewe huyaacha hadharani kwa kuvaa sidiria za ku-boost?Kama itakupendeza n kwa heshima ya Dada na Mama zetu waliopo humu naomba hiyo picha ambayo inaonyesha maziwa yake uiondoe mkuu
Ah, useless personal attack.Unataka kutuambia Dada zako/Mama zako wanatembea kifua wazi?
Mtoa mada ni juma lokoleJinsia ya mtoa mada tafadhali ?
π π π π πHuyo mwenye jezi ya Man U... athari imekuja kuonekana leo
Maziwa kukaa nje kwa mwanamke wa kiafrika sio kosa ndio maana mama zetu wananyonyesha hadharini.Kama itakupendeza n kwa heshima ya Dada na Mama zetu waliopo humu naomba hiyo picha ambayo inaonyesha maziwa yake uiondoe mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tumeshaisevu
tuwe tunakunya nje basi maana hakuna asiejua au kuona mtu akinya,na tutembee bila nguo..maana hakuna tusichojuaMkuu hujawahi kuona matiti ya mwanamke?