Shilole ni mnafiki sana

Hizi tunazofanya hizi ndio zinafanya "shishi" abaki kuwa "shishi"

Nilitemea kuskia mtu anauliza "shilole ndio nani"

Nilitegemea kuona "kwani kaandika nini"

Ila raia wote kimya ikimaanisha wanaelewa game ya shishi masufuria

Shishi maasufuria hajiachi ovyo tena ila tayari kashakua shishi no way out

hamna njia ya kumuepuka "shishi the supa star"
 
Kama itakupendeza n kwa heshima ya Dada na Mama zetu waliopo humu naomba hiyo picha ambayo inaonyesha maziwa yake uiondoe mkuu
Ombi lako limesikika.

Na limeshafanyiwa kazi
 
Ukishakua maarufu kua mpole... hayo kwani alisingiziwa si kafanya willingly...

Internet haisahau kamwe
Unapata faida gani unapopost picha ya mtu kama hivyo? Let's say shilole ni dada yako ungeona ni sawa?

La pili kila mtu ana haki yake, kama ww unaona yuko kwa konde ww nenda kwa wcb si kila mtu na aina ya maisha aliyochagua
 
Shilole najua utapita kwenye huu Uzi nataka nikuume sikio.Kabla ya yote nikwambie tu hizi picha zisikuffishe moyo najua hiyo tabia mbaya umeshaicha waambie your past is place of reference not place of residence.
Sasa nalotaka kukuasa nimefuatilia interview zako kama mbili u tube nimeona swali kubwa waandishi wanalokimbilia kukuliza ni kama mali unazomiliki nyumba na magari Mumeo Uchebe ana mchango.
Na wewe ama kwa mahaba au kutunza heshima ya mume kama ilivyo ada kwa siye kina dada umekuwa ukijibu kwa bashasha "ana mchango mkubwa sana mtu sio lazima akupe pesa"
Mdogo wangu nakushauri acha kabisa hilo jibu hata kama ana mchango wa kimawazo hayo ni yenu ndani kwanza kuna mawili either wandishi wanauliza ivyo kummock mumeo wakijua hana mchango au yeye ndo anawatuma kupima upepo kwa sababu fulani anazozijua.Duniani usiamini mtu katika maisha hata mama yako .
Ingekuwa mimi ningewajibu ivi "mwanamke kuwa na mali haizuii kupendwa au kuolewa na mume asiye na kitu wengi tu wameoana hivyo wakaanza kutafuta pamoja mali ya mwenza aliyokuta inabaki yake ivyo basi nyumba na magari ni yangu binafsi ila Mungu atajalia tutatafuta zetu".Hapo hutaharibu heshima ya mumeo na akikasirika jua ana jambo,@miundombinu.Acha kabisa iyo kauli ya ana mchango mkubwa tu sio lazima pesa.Halafu mwanzoni hukuwa unajibu ivyo sijui nani kakuamsha.Nakupenda mpiganaji usijekulia kilio cha mbwa mwizi.Hawa miundo mbinu ni shida
 
Shilole ananuka vibaya mmmmnhhhhh... mchafu kabisa😤😤😤😤 acheni mengine tusiseme
 
Kila mtu ana uhuru wa kushabikia anachokipenda muache shishi wa watu
 
"Kunywa bia, achana na unafiki wa shilole hautakusaidia kitu"

Waitara
2019
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…