Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Hakuna kitu kama hicho bidada.
Waliotengeneza ile picha iliyokua inatumwa whatsapp ni kampuni ya Angels ya huko huko DRC ambayo ni wapinzani wakubwa na wazalishaji wa Dodo.
Ukitaka dodo ikukubali zaidi uwe na bajeti ya Elfu 60 ukienda dukani;
1.Mafuta-15,000/=
2.Sabuni-6,000/=
3.Maji yake(glyverline)-10,000/= mpya.
4.Dodo handcreme-7500/=
5.Dodo face & body scub-12,000/=
6.Dodo skin treatment-9,500/=.
Pole sana.....
Mtoto wa kike unapaswa kwenda na wakati bhana.
Mbona kichwani unachoma nywele na kushonea mawiving.
Mbona unavaa suruali kama wazungu kwanini usipende kuwa mweupe wewe??????
Pole sana.....
Mtoto wa kike unapaswa kwenda na wakati bhana.
Mbona kichwani unachoma nywele na kushonea mawiving.
Mbona unavaa suruali kama wazungu kwanini usipende kuwa mweupe wewe??????
Mmmhhh
Kwahyo kujichubua ni kwenda na wakati?
Kaka angu ushawahi kuniona au?? Hivi kumbe kujichubua ndo kwenda na wakati?? Basi I'm still old fashioned and am not ready to catch up with the bleaching fashion. Nimuige mzungu kuwa mweupe, yeye lini aliniiga kuwa mweusi??
Stand up inorder to be counted madame!!!!!
With huu ushamba wangu, am still counted sir. I'm comfortable and confident with myself.
Heaven Sent,,,,
Usipende kubisha kila kitu bhana.
Tupo kwenye ulimwengu ambao every thing is uncertain.
Heaven Sent,,,,
Usipende kubisha kila kitu bhana.
Tupo kwenye ulimwengu ambao every thing is uncertain.
sijichubui,mweusi najisikia amani.nikimkuta mwanamke kajichuna namwangaliajee!!
Unamwangalia kwa namna gani?????
Unamwonea wivu au huruma????
Ujue weusi nao ukizidi noma sana unamfanya mtu asiwe na mvuto hata kidogo.
Just go for the dodo package mambo yatakua pooooooaaaa!!!
Humuoni Wema Sepetu,Snura Mushi,Johari,Mainda Suka & Jennifer Kyaka(Odama) bila kimsahau Jacqline Wolper,Frolah Mvungi et al....
Stand out inorder to be counted Zamda!!!!
Hakuna kitu kama hicho bidada.
Waliotengeneza ile picha iliyokua inatumwa whatsapp ni kampuni ya Angels ya huko huko DRC ambayo ni wapinzani wakubwa na wazalishaji wa Dodo.
Ukitaka dodo ikukubali zaidi uwe na bajeti ya Elfu 60 ukienda dukani;
1.Mafuta-15,000/=
2.Sabuni-6,000/=
3.Maji yake(glyverline)-10,000/= mpya.
4.Dodo handcreme-7500/=
5.Dodo face & body scub-12,000/=
6.Dodo skin treatment-9,500/=.
Unamwangalia kwa namna gani?????
Unamwonea wivu au huruma????
Ujue weusi nao ukizidi noma sana unamfanya mtu asiwe na mvuto hata kidogo.
Just go for the dodo package mambo yatakua pooooooaaaa!!!
Humuoni Wema Sepetu,Snura Mushi,Johari,Mainda Suka & Jennifer Kyaka(Odama) bila kimsahau Jacqline Wolper,Frolah Mvungi et al....
Stand out inorder to be counted Zamda!!!!
We shindwaaa. Hata kama ningekuwa cheusi kama Lupita, sitojichubua ng'oo. Hao wapaka mikorogo yako wanakuwaa counted na nani?? Na kimewasaidia nini kwenye maisha yao?
Weusi hatuvutiiii?? Wewe sema unapenda wanawake wajinga wajinga wasiojitambua, ndo hao full kujichubua. Huwasikii wanavyolia lia oooh mie mkorogo umenitenda hovyooooo wakome. Hivi Aunty, kajala, nancy sumari, faraja kotta hawana mvuto eeh?
Wewe kama unapenda waliojichubua wapende tu, kuna wenzio wakiona tu black girls ooooooops no comment. Wewe wadanganye tu wenzako, hiyo mingozi daily inawazingua, au una hela ya kuwapeleka china kutengeneza ngozi zao kama clement??
Namwonea macho,ila nahisi huruma kwake.nijichune nimvutie nani??mi najipenda mwenyewe sitegemei kupendwa kama ninavyojipenda mwenyewe, Amanijua hujanishawishi bado.
Dinazarde hivi dodo haina madhara km carolaiti? Naomb unisaidie utaalam kdg nataka nijaribu
Hakuna kitu kama hicho bidada.
Waliotengeneza ile picha iliyokua inatumwa whatsapp ni kampuni ya Angels ya huko huko DRC ambayo ni wapinzani wakubwa na wazalishaji wa Dodo.
Ukitaka dodo ikukubali zaidi uwe na bajeti ya Elfu 60 ukienda dukani;
1.Mafuta-15,000/=
2.Sabuni-6,000/=
3.Maji yake(glyverline)-10,000/= mpya.
4.Dodo handcreme-7500/=
5.Dodo face & body scub-12,000/=
6.Dodo skin treatment-9,500/=.