Shilole: Nitagombea Ubunge Igunga


Naogopa kuchoka kabla cjafanya kaxi Shilole???????Ubunge??????
 
"Kwa kuwa waliweza kulisukuma Basi mpaka upande wa pili, basi wakadhani na udereva wanaweza"
E. Mbogo-Moran.
Always simplicity is an enermy of truth.
 
Hivi ni wabunge gani waliofanya ubunge uonekane ni kitu rahisi sana?
 
juma nature. joseph haule. afande sele now shilole wa nuh ubunge huu
 
Hii habari mngechanganya na ile aliyosema anasubiri kolabo na JLO.
 
habari nyingine n za facebook na insta... sio uku jaman
 
Kwa design ya wabunge kama sugu na lema tena shilole anaweza kugombea uspika kabisa.
 
Yaani Sasa hivi wasanii wote wanataka kugombea ubunge...duh nchi hii jamani
Wabadilishe vigezo waweke vya elimu na degree watakimbia wote !
 
umewaona?

Nimewaona mkuu. Kwa siasa zetu zilivyo za kipuuzi + wananchi wengi hatujui tunataka nini, kijingajinga hivihivi anaweza akagombea na akashinda au akapewa viti maalumu.
 
Hili nilikua napanda nyimbo zake now sipendi tena na asijidanganye atavuna aibu igunga imeiva kwa CHADEMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…