Shilole usiifananishe kabisa na nape shilole ana vyanzo vingi vya kupata pesa compare na Nape.Umewahi ona budget ya kugombea ubunge wewe?....hadi Nape Nnauye alikopa hela benki
Poshy naye lini[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]shida sana wallah
Jr[emoji769]
Mwanamziki nguli wa kimataifa na maarufu na mfanyabiashara mkubwa Tanzania Zena Yusuph Mohamed a.k.a shilole ametangaza nia yake ya kugombea Jimbo la Igunga ambapo pia ni sehemu alipokulia kwenye uchaguzi Huu wa mwaka 2020.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]shida sana wallah
Jr[emoji769]
Huwezi kumlinganisha Sugu na vimbwenelehi hata kidogo. Sugu amekuwa mwanaharakati katika maisha yake yote na muziki wake ni wakiharakati sio hivyo miziki ya inama inuka.Akipewa ridhaa na atashinda. Kafumu ajiandae kura za maoni. Hata Sugu alivyogombea mara ya kwanza hakuna aliemdhania atashinda.
HAPA KWETU ARUSHA TUTAMPELEKA DOGO JANJA BUNGENI