Shilole: Nitagombea ubunge uchaguzi wa mwaka huu

Diamond amepewa Kigoma natumai Rose Muhando atapewa Dodoma.
 
Pole zimuendee Uchebe maana my wife wake akiwa mjengoni anywe Panadol za kutosha.
 
Ubunge ndani ya CCM umekosa hadhi !! Yaani kutujazia mambumbumbu bungeni kisa ni nini? kuongeza idadi ya wapiga makofi na wazomeaji ndiyo sera mpya ya CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…