Sizitaki mbichi hizi........!!!!Range ni jina tu kubwa ila kiuhalisia hamna kitu mle
Ila ajue kuwa V8 ni engine na sio aina ya gari. Kwenye Range Rover pia kuna hiyo V8 engine.Japo kuwa haja soma shilole kapatia V8 ndio gari kazi sio range.
8 cylinder'sIla ajue kuwa V8 ni engine na sio aina ya gari. Kwenye Range Rover pia kuna hiyo V8 engine.
Itakuwa alimaanisha Toyota Land Cruiser.Staa wa Muziki wa Bongo Fleva na Mjasiriamali Shilole ameiweka wazi Gari ya ndoto yake anayotamani kumiliki.
Wakati akizungumza na waandishi wa habari @officialshilole ameitaja “v8 new model” ndio gari ya heshima kwake na akiongeza kwa sema Gari aina ya Range Rover ni za kitoto.
View attachment 2591320
DOZEN SELECTION
Kwa nchi hii ukitamka tu V8 automatically it is clear what you're talking about.Ila ajue kuwa V8 ni engine na sio aina ya gari. Kwenye Range Rover pia kuna hiyo V8 engine.
Sawa sisi watu wa nchi hii tuachane na technical terms. Ila sasa hapo tufocus kwenye kwenye context mkuu, Shilole kuja kununua 'V8' au 'V8' kuwa gari la maana la kikubwa kuliko Range Rover?Kwa nchi hii ukitamka tu V8 automatically it is clear what you're talking about.
Let's focus on the context than technical jargons uncommon to common wananchi.
Ushawahi hata kupanda? Au ndio unayaona tu barabarani yanapita.Range ni jina tu kubwa ila kiuhalisia hamna kitu mle
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] humu kila mtu ana range na gorofa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ushawahi hata kupanda? Au ndio unayaona tu barabarani yanapita.
Ha ha haaa. Kweli Mkuu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] humu kila mtu ana range na gorofa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole sana
Sizitaki mbichi hiziakiongeza kwa sema Gari aina ya Range Rover ni za kitoto.
V8 wabongo wengi wanajua ni LCIla ajue kuwa V8 ni engine na sio aina ya gari. Kwenye Range Rover pia kuna hiyo V8 engine.