Shilole: Wanaume wa mjini ni wavivu kila sekta, naenda kutafuta mwanamume wa kijijini

Shilole: Wanaume wa mjini ni wavivu kila sekta, naenda kutafuta mwanamume wa kijijini



Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amejutia kuwapenda wanaume wa mjini kuwa ni wavivu kila sekta hivyo anajipanga kwenda kijijini kwao Igunga,Tabora kutafuta mume.

Akistorisha na Showbiz Xtra, Shilole alisema kuwa, hataki tena kujichosha akili kwa wanaume wa mjini kwa vile ni wavivu bora aende Igunga kumpata mwanaume atakayeweza kufanya kazi kutokana na vyakula asili anavyokula.

“Wanaume wa mjini wamezoea chipsi mayai, hawawezi chochote bora wa kijijini wanakula dona na wana akili za kufikiria,” alisema Shilole.

Shilole alikuwa akitoka kimapenzi na msanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda.

Source: Bongo Movie
Naichukia hii Tabia ya Ku-generalize, yaani hapo amemaanisha hata mimi ni mvivu?
 
Chips mayai na kuku wa kisasa nu janga kubwa sana
 
huyo jike shupa ameshindwana na mziwanda sasa amekosa soko anajipa promo kiunjanjaunja tumemstukia mwache akatafute mlugha mwenzako
 
Mfamaji haishi kutapa tapa Nuh mziwanda mwanaume wa MJINI katibuua sana maji leo mmemwagana utasema yote alikuwa anakufanyia ila tu yenye mapungufu..

Swali :
Nuh mziwanda kamkojoza shishittt beib mara ngapi tangu walioanza mahusiano yao.
 
hana lolote!mshamba tu yy!!mnyamwezi,sijui msukuma mapenzi ayajulie wapi!!!!
 
Shilole usipate shida ya mume,njoo kwangu nipo shamba huku Ifakara, na mimi nilikuwa natafuta gume gume aliyeshindikana huko mjini kwasababu ni mbunifu mno muwapo faragha. Nitakupokea kwa moyo wote mama!
Haya wasalimie viwanja sitini
 
kabla hajachukuwa wa igunga ajaribu wa size yake kwanza, maana wale walikuwa watoto sana kwake
Mimi napendekeza amchukue Ze Dudu...ili baada ya wiki moja tu naye (Shishi) aje na wimbo wenye vesi 'mapenzi si ubondia..najikaza huku nateketea...bora nijivue.....'
 
spati picha huko igunga jamaa wanavyosubiria hii fursa, Ila wanaume wa Dar mnatuaibisha sana wamikoani

Tunawaaibishaje kama mnashindwa kuwazuia mademu wenu kuja kwetu, kinachotokea demu hajui hata romance mwisho wa cku analalamika haridhishwi.
Rai:
Fanyeni mpango muwazuie mademu zenu
 
Shilole usipate shida ya mume,njoo kwangu nipo shamba huku Ifakara, na mimi nilikuwa natafuta gume gume aliyeshindikana huko mjini kwasababu ni mbunifu mno muwapo faragha. Nitakupokea kwa moyo wote mama!
utaliiweza gdege lisilofugika we tulia ujilie vyako
 
Tatizo watu hawataki kuogelea kama samaki, ndio maana wakipiga moja lazima watoke nduki.
 
kwan amewajaribisha wanaume wote wa mjini kujua kama kweli ni wavivu..[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Hapo wanaume wa daRisalama povu mpaka maskioni, shilole kahiti kwenye g-spot ya vijana wa daRisalama [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mileage 400,000 kms kama unatwanga maji kwenye kinu
 
Back
Top Bottom