Pre GE2025 Shime watanzania 2025 tumpate rais mwenye sifa za uongozi na siyo uongozi wa sifa

Pre GE2025 Shime watanzania 2025 tumpate rais mwenye sifa za uongozi na siyo uongozi wa sifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Tangu 2015 watanzania hatujapata rais anayestahili na mwenye sifa za uongozi.

Rais wa 2015 - 2021 .
Huyu alikuwa anaendesha nchi kama nyumba yake. Alijawa na sifa za kishamba, matusi kibao na udikteta usioelezeka. Alitaka kila kitu kiwe siri, kuanzia mikopo inayochukuliwa na serikali mpaka magonjwa kama kipindupimdu, Zika na korona.

Aliharibu mizizi na mishipa ya kiuchumi kwa kuwachukia, kuwapora na kuwafilisi wafanyabiashara. Aliendesha nchi kwa kukandamiza kila kundi nchi hii. Uchumi aliudidimiza.

Serikalini alijaza ndugu na kabila lake ambalo ndiyo walikuwa wakiiba na kutafuna fedha ya nchi hii.
Aliichukia demokrasia kabisa, aliiba uchaguzi na alizima internet siku ya uchaguzi, na baadaye kuwafanya baadhi ya wanasiasa wa upinzani kuhama nchi. Na mbaya zaidi alitungas heria kandamzi za habari na wanahabari na alianzisha kikundi cha wasiojulikana.

Wa 2021 - mpk sasa.
Rais wa sasa kinchomharibia ni ulaghai
. Anatoa ahadi nyingi zenye muelekeo mwema lakini kumbe deep down her soul hakusudii kutimiza ahadi yake. Aliwafurahisha wapinzani kwa mazungumzo marefu ya maridhiano ambayo mwisho wa siku yalikuwa danganya toto. Akaanzisha kikosi kazi cha kuunda tume huru , lkn kumbe hakumaanisha, aliahidi katiba mpya nayo pia amechomoa.

Pia rais huyu, inaelekea serikali yake "imepigwa kopi na wahuni" (msemo wa H. Polepole), ama kwa maneno ya mwalimu Nyerere tunasema serikali ya mama "imewekwa mfukoni". Anaonekana kapokwa madaraka kabisa, kubakia na cheo cha urais tu, lkn serikali inaendeshwa na wahuni.

Fedha za serikali zinachotwa mama hasemi, bei za bidhaa zinapanda hovyo mama hasemi.

2025 tunawataka watanzania wote wenye akili, wenye nafasi ndani ya jamii, ndani na nje ya ccm/serikalini, mfanye jambo litakaloinusuru nchi hii. Tunahitaji mtu atakayekuwa na sifa za uongozi, siyo uongozi wa sifa.
 
Kama baada ya Mkapa RIP angefuata Rais wa namna yake, hakika nchi ingekuwa katika viwango tofauti kabisa na hapa tulipo leo. Alipokea uongozi nchi ikiwa kwenye hali ngumu sana ya uchumi, akarekebisha mambo mengi kwa ufanisi mkubwa mpaka kufikia kufutiwa madeni.

Akaondoka akaiacha hazina ikiwa imenona. Kikwete alipoingia akaanza kutapanya pesa hovyo kwa miradi yake isiyo na tija iliyoitwa mabilioni ya Kikwete. Nchi ikaendelea na watawala wasio riziki. Lakini kwa sasa nchi ipo chini ya watu waliodhamiria kulifilisi na kuliua kabisa Taifa kwa kupora rasilimali za nchi na kuziuza kwa wageni kwa maslahi yao binafsi.

Wanatafutwa watu punguani wasiojitambua, wasio na uchungu, upendo wala uzalendo kwa nchi, wanafanywa machawa wa kushangilia watawala wakati wakiwa wanatapanya na kufisadi rasilimali za nchi. Watawala wa sasa wanatengeneza mazingira ya vizazi vyetu vya baadaye kuishi kwenye utumwa wa wageni, wakati rasilimali zote zikiwa mikononi mwa wageni, kupitia mikataba ya kishenzi kama ile IGA ya DPW.

Watawala wa sasa watabakia kwenye historia mbaya kabisa ya Taifa hili kwa kitendo cha kupora rasilimali za nchi na kuwagawia watu wanaowataka huku wao wakifaidika kwa rushwa kuvwa kupindukia.
 
Tatizo hakuna uchaguzi na wezi wa CCM wapo kazini tayari , Kenya majirani zetu wametuacha mbali sana mpaka inasikitisha hapo Rwanda wana lidikteta lakini at least linafanya kazi kwa maslahi ya nchi yake, kama miaka ya 60 tulikuwa uchumi sawa na Singapore na nchi nyingi za South Asia leo ni kama day and night, sitashangaa Kenya au Rwanda miaka 20 ijayo wakatuacha nyuma sana kama Asian countries walivyotuacha, nimesoma one of the report ya World Bank imesema Bandari ya Dar es Salaam ikiwekwa vizuri na kusimamiwa ina uwezo wa kuingiza billion 11 kwa mwaka ambazo ni nusu ya budget nzima ya Tanzania, sijui kwani kitu kama hiyo Bandari na Utalii tusiweke akili 100% tumalizane na umaskini atleast wa kutoomba omba na kujenga miundo mbinu yetu kwa pesa zetu lakini wapi bwana ndio wanauza kabisa kila kitu au deal za kipuuzi za ambazo hakuna mtu anaelewa hata zimeanza lini na zinaisha lini au tunapata ngapi, CCM na akili zao za stone age ndio chanzo cha umaskini hii nchi na hakuna kingine, mchawi ni mmoja tuu CCM and they must go!
 
Tangu 2015 watanzania hatujapata rais anayestahili na mwenye sifa za uongozi.

Rais wa 2015 - 2021 .
Huyu alikuwa anaendesha nchi kama nyumba yake. Alijawa na sifa za kishamba, matusi kibao na udikteta usioelezeka. Alitaka kila kitu kiwe siri, kuanzia mikopo inayochukuliwa na serikali mpaka magonjwa kama kipindupimdu, Zika na korona.

Aliharibu mizizi na mishipa ya kiuchumi kwa kuwachukia, kuwapora na kuwafilisi wafanyabiashara. Aliendesha nchi kwa kukandamiza kila kundi nchi hii. Uchumi aliudidimiza.

Serikalini alijaza ndugu na kabila lake ambalo ndiyo walikuwa wakiiba na kutafuna fedha ya nchi hii.
Aliichukia demokrasia kabisa, aliiba uchaguzi na alizima internet siku ya uchaguzi, na baadaye kuwafanya baadhi ya wanasiasa wa upinzani kuhama nchi. Na mbaya zaidi alitungas heria kandamzi za habari na wanahabari na alianzisha kikundi cha wasiojulikana.

Wa 2021 - mpk sasa.
Rais wa sasa kinchomharibia ni ulaghai
. Anatoa ahadi nyingi zenye muelekeo mwema lakini kumbe deep down her soul hakusudii kutimiza ahadi yake. Aliwafurahisha wapinzani kwa mazungumzo marefu ya maridhiano ambayo mwisho wa siku yalikuwa danganya toto. Akaanzisha kikosi kazi cha kuunda tume huru , lkn kumbe hakumaanisha, aliahidi katiba mpya nayo pia amechomoa.

Pia rais huyu, inaelekea serikali yake "imepigwa kopi na wahuni" (msemo wa H. Polepole), ama kwa maneno ya mwalimu Nyerere tunasema serikali ya mama "imewekwa mfukoni". Anaonekana kapokwa madaraka kabisa, kubakia na cheo cha urais tu, lkn serikali inaendeshwa na wahuni.

Fedha za serikali zinachotwa mama hasemi, bei za bidhaa zinapanda hovyo mama hasemi.

2025 tunawataka watanzania wote wenye akili, wenye nafasi ndani ya jamii, ndani na nje ya ccm/serikalini, mfanye jambo litakaloinusuru nchi hii. Tunahitaji mtu atakayekuwa na sifa za uongozi, siyo uongozi wa sifa.
Mnhh...
Mkuu una Mwanasheria lakin!?🤔🤔🙆
 
Tangu 2015 watanzania hatujapata rais anayestahili na mwenye sifa za uongozi.

Rais wa 2015 - 2021 .
Huyu alikuwa anaendesha nchi kama nyumba yake. Alijawa na sifa za kishamba, matusi kibao na udikteta usioelezeka. Alitaka kila kitu kiwe siri, kuanzia mikopo inayochukuliwa na serikali mpaka magonjwa kama kipindupimdu, Zika na korona.

Aliharibu mizizi na mishipa ya kiuchumi kwa kuwachukia, kuwapora na kuwafilisi wafanyabiashara. Aliendesha nchi kwa kukandamiza kila kundi nchi hii. Uchumi aliudidimiza.

Serikalini alijaza ndugu na kabila lake ambalo ndiyo walikuwa wakiiba na kutafuna fedha ya nchi hii.
Aliichukia demokrasia kabisa, aliiba uchaguzi na alizima internet siku ya uchaguzi, na baadaye kuwafanya baadhi ya wanasiasa wa upinzani kuhama nchi. Na mbaya zaidi alitungas heria kandamzi za habari na wanahabari na alianzisha kikundi cha wasiojulikana.

Wa 2021 - mpk sasa.
Rais wa sasa kinchomharibia ni ulaghai
. Anatoa ahadi nyingi zenye muelekeo mwema lakini kumbe deep down her soul hakusudii kutimiza ahadi yake. Aliwafurahisha wapinzani kwa mazungumzo marefu ya maridhiano ambayo mwisho wa siku yalikuwa danganya toto. Akaanzisha kikosi kazi cha kuunda tume huru , lkn kumbe hakumaanisha, aliahidi katiba mpya nayo pia amechomoa.

Pia rais huyu, inaelekea serikali yake "imepigwa kopi na wahuni" (msemo wa H. Polepole), ama kwa maneno ya mwalimu Nyerere tunasema serikali ya mama "imewekwa mfukoni". Anaonekana kapokwa madaraka kabisa, kubakia na cheo cha urais tu, lkn serikali inaendeshwa na wahuni.

Fedha za serikali zinachotwa mama hasemi, bei za bidhaa zinapanda hovyo mama hasemi.

2025 tunawataka watanzania wote wenye akili, wenye nafasi ndani ya jamii, ndani na nje ya ccm/serikalini, mfanye jambo litakaloinusuru nchi hii. Tunahitaji mtu atakayekuwa na sifa za uongozi, siyo uongozi wa sifa.
Mnhh...
Mkuu una Mwanasheria lakin!?🤔🤔
Wee JPM alididimiza uchumi? Hujielewi
Yes! Ulikufa kabisa.. mlikuwa mnapigishwa porojo tu za makinikia...
 
Nchi yetu labda aje Mungu mwenyewe aiongoze ili mtu akifungua mdomo wake tu pyeeeee.... pyeeeee! anayeyuka palepale, Huenda tutajifunza kitu
 
L
Tangu 2015 watanzania hatujapata rais anayestahili na mwenye sifa za uongozi.

Rais wa 2015 - 2021 .
Huyu alikuwa anaendesha nchi kama nyumba yake. Alijawa na sifa za kishamba, matusi kibao na udikteta usioelezeka. Alitaka kila kitu kiwe siri, kuanzia mikopo inayochukuliwa na serikali mpaka magonjwa kama kipindupimdu, Zika na korona.

Aliharibu mizizi na mishipa ya kiuchumi kwa kuwachukia, kuwapora na kuwafilisi wafanyabiashara. Aliendesha nchi kwa kukandamiza kila kundi nchi hii. Uchumi aliudidimiza.

Serikalini alijaza ndugu na kabila lake ambalo ndiyo walikuwa wakiiba na kutafuna fedha ya nchi hii.
Aliichukia demokrasia kabisa, aliiba uchaguzi na alizima internet siku ya uchaguzi, na baadaye kuwafanya baadhi ya wanasiasa wa upinzani kuhama nchi. Na mbaya zaidi alitungas heria kandamzi za habari na wanahabari na alianzisha kikundi cha wasiojulikana.

Wa 2021 - mpk sasa.
Rais wa sasa kinchomharibia ni ulaghai
. Anatoa ahadi nyingi zenye muelekeo mwema lakini kumbe deep down her soul hakusudii kutimiza ahadi yake. Aliwafurahisha wapinzani kwa mazungumzo marefu ya maridhiano ambayo mwisho wa siku yalikuwa danganya toto. Akaanzisha kikosi kazi cha kuunda tume huru , lkn kumbe hakumaanisha, aliahidi katiba mpya nayo pia amechomoa.

Pia rais huyu, inaelekea serikali yake "imepigwa kopi na wahuni" (msemo wa H. Polepole), ama kwa maneno ya mwalimu Nyerere tunasema serikali ya mama "imewekwa mfukoni". Anaonekana kapokwa madaraka kabisa, kubakia na cheo cha urais tu, lkn serikali inaendeshwa na wahuni.

Fedha za serikali zinachotwa mama hasemi, bei za bidhaa zinapanda hovyo mama hasemi.

2025 tunawataka watanzania wote wenye akili, wenye nafasi ndani ya jamii, ndani na nje ya ccm/serikalini, mfanye jambo litakaloinusuru nchi hii. Tunahitaji mtu atakayekuwa na sifa za uongozi, siyo uongozi wa sifa.


Lakini pia Wagombea hasa wapinzani waelezee bayana matokeo ya Kiusalama ya kuuza bandari zetu, kuuza viwanja vya ndege, kuuza misitu na kuwafukuza wanachi kwenye ardhi zao za asili na kuwapa wageni.

Wawaeleze wananchi na pia kuvikumbusha vyomba vya usalama kuwa vikikaa kimya boti ikiwa inatobolewa basi ikianza kuvuja wao ndio hawatalala usiku kucha kwa kuchota maji na kuyamwaga nje ili boti isizame .
Nchi yetu haijawa na uhakika wa usalama dhidi ya magaidi ,dhidi ya wahujumu uchumi,dhidi ya mataifa makubwa yanayotengeneza vita na vurugu za kisiasa ,kidini na kikabila kwa lengo la kuuza sailaha na kupora rasilimali za umma. Lakini pia tumezungukwa na nchi zenye urafiki wa mashaka . Sitaki kuzitaja . Sasa unapouza bandari na viwanja vya ndege ni wazi wa umepunguza usalama wako kwa kiwango kikubwa sana. Hata ukiagiza silaha siri inavuja kwa haraka .Lakini pia adui anaweza kuwanunua wageni ambao wapo kibiashara kukuhujumu kwa kikubwa kwa manufaa yao.

Marekani kwa mfano ni maswahiba wakubwa wa Nchi za Korea na Falme za Kiarabu. Marekani kwenye maslahi yake anamnunua yeyote kwa gharama yoyote .
Afrika mashariki Tanzania ndiyo nchi pekee iliyokua ngumu kuingilika lakini sasa milango imekua wazi kabisa.

Ni ama tuwe wapole kama ndondocha au tukijifurukuta tuvurugwe vurugwe .
.
Vyombo vya kiuslama wanatakiwa pia waelezwe kwa kina madhara ya haya yanyofanywa sasa kiusalama na sio kisiasa.
Kwa sababu kuna wakati utakuta mkubwa fulani wa vyombo vya usalama anafungamana sana na CCM bila kujua kuwa anawapa wakati mgumu sana wale walioko chini ambao kiuhalisia ndio wanapata wakati mgumu katika kulinda usalama wa nchi.

Mfano Polisi wanasaidia Wizi wa Kura na kubadili matokeo kwenye Kata au kijiji kwa wazi kabisa halafu baada ya uchaguzi wanaleta hoja ya kushirikiana na jamii kudhibiti uhalifu.

Waanze kwanza kudhibiti wizi wa kura ili jamii iwe na imani nao na viongozi wao.
Sas hapa unaona ni interest tu ya mtu mmoja anayewaza kuteuliwa anaamua kuharibia jeshi zima na kuwapa watendaji wake hasa wale wa chini wakati mgumu sana katika kutimiza majukumu yao ya kulinda watu na mali zao.
 
Tangu 2015 watanzania hatujapata rais anayestahili na mwenye sifa za uongozi.

Rais wa 2015 - 2021 .
Huyu alikuwa anaendesha nchi kama nyumba yake. Alijawa na sifa za kishamba, matusi kibao na udikteta usioelezeka. Alitaka kila kitu kiwe siri, kuanzia mikopo inayochukuliwa na serikali mpaka magonjwa kama kipindupimdu, Zika na korona.

Aliharibu mizizi na mishipa ya kiuchumi kwa kuwachukia, kuwapora na kuwafilisi wafanyabiashara. Aliendesha nchi kwa kukandamiza kila kundi nchi hii. Uchumi aliudidimiza.

Serikalini alijaza ndugu na kabila lake ambalo ndiyo walikuwa wakiiba na kutafuna fedha ya nchi hii.
Aliichukia demokrasia kabisa, aliiba uchaguzi na alizima internet siku ya uchaguzi, na baadaye kuwafanya baadhi ya wanasiasa wa upinzani kuhama nchi. Na mbaya zaidi alitungas heria kandamzi za habari na wanahabari na alianzisha kikundi cha wasiojulikana.

Wa 2021 - mpk sasa.
Rais wa sasa kinchomharibia ni ulaghai
. Anatoa ahadi nyingi zenye muelekeo mwema lakini kumbe deep down her soul hakusudii kutimiza ahadi yake. Aliwafurahisha wapinzani kwa mazungumzo marefu ya maridhiano ambayo mwisho wa siku yalikuwa danganya toto. Akaanzisha kikosi kazi cha kuunda tume huru , lkn kumbe hakumaanisha, aliahidi katiba mpya nayo pia amechomoa.

Pia rais huyu, inaelekea serikali yake "imepigwa kopi na wahuni" (msemo wa H. Polepole), ama kwa maneno ya mwalimu Nyerere tunasema serikali ya mama "imewekwa mfukoni". Anaonekana kapokwa madaraka kabisa, kubakia na cheo cha urais tu, lkn serikali inaendeshwa na wahuni.

Fedha za serikali zinachotwa mama hasemi, bei za bidhaa zinapanda hovyo mama hasemi.

2025 tunawataka watanzania wote wenye akili, wenye nafasi ndani ya jamii, ndani na nje ya ccm/serikalini, mfanye jambo litakaloinusuru nchi hii. Tunahitaji mtu atakayekuwa na sifa za uongozi, siyo uongozi wa sifa.
Tofauti na Samia hakuna mwingine wa kuwa Rais au wewe unamjua? Nitajie
 
Tangu 2015 watanzania hatujapata rais anayestahili na mwenye sifa za uongozi.
Ndio kusema watangulizi wote hadi JK walistahili?
Rais wa 2015 - 2021 .

Serikalini alijaza ndugu na kabila lake ambalo ndiyo walikuwa wakiiba na kutafuna fedha ya nchi hii.
Kitu kikiwa chako, you can't steal from yourself!, hiyo ni kujichotea tuu sio kuiba!
Wa 2021 - mpk sasa.
Rais wa sasa kinchomharibia ni ulaghai
. Anatoa ahadi nyingi zenye muelekeo mwema lakini kumbe deep down her soul hakusudii kutimiza ahadi yake.
Naomba kutofautiana na wewe, ana nia tatizo ni wasaidizi wake Rais Samia ana nia njema Watanzania wapate haki, ila Watanzania hawajui Haki! Je, Tumsaidie kuelimisha umma Katiba, Sheria na Haki au? tumsaidie!
Aliwafurahisha wapinzani kwa mazungumzo marefu ya maridhiano ambayo mwisho wa siku yalikuwa danganya toto.
Pia hapa alikuwa na nia njema tatizo wahafidhina Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito! tumsaidie
Akaanzisha kikosi kazi cha kuunda tume huru , lkn kumbe hakumaanisha,
Alimaanisha ila wasaidizi wake sheria hawakumsaidia. Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi. Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria! hapa wanahitajika manguli wabobezi na wabebovu wa sheria nje ya circle yake kama Prof. Shivji, Chris Peter, Mgongo Fimbo, Safari, wameleze wazi ubatili wa sheria mpya ya uchaguzi kama nilivyo saidia hapa Ombi kwa Rais Samia: Sheria Mpya ya Uchaguzi Bado ina Ubatili. Haki ya Kuchagua na Kuchaguliwa imeporwa! Irejeshwe kwa Mujibu wa Katiba!
aliahidi katiba mpya nayo pia amechomoa.
Hii ataendelea nayo 2025-2030, japo tulimshauri shauri, Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!. Je Watanzania Tuna Haraka Sana na Uchaguzi Hadi Tukimbilie Kula Bila Kunawa? ila Maza ana ... fulani cha Kizanzibari cha kichinichini!, tumsaidie ...
2025 tunawataka watanzania wote wenye akili, wenye nafasi ndani ya jamii, ndani na nje ya ccm/serikalini, mfanye jambo litakaloinusuru nchi hii. Tunahitaji mtu atakayekuwa na sifa za uongozi, siyo uongozi wa sifa.
Sifa zote anazo, ila anachohitaji ni hao Watanzania wote wenye akili, wenye nafasi ndani ya jamii, ndani na nje ya ccm/serikalini, wafanye jambo kumsaidia ili aweze.
P
 
Tangu 2015 watanzania hatujapata rais anayestahili na mwenye sifa za uongozi.

Rais wa 2015 - 2021 .
Huyu alikuwa anaendesha nchi kama nyumba yake. Alijawa na sifa za kishamba, matusi kibao na udikteta usioelezeka. Alitaka kila kitu kiwe siri, kuanzia mikopo inayochukuliwa na serikali mpaka magonjwa kama kipindupimdu, Zika na korona.

Aliharibu mizizi na mishipa ya kiuchumi kwa kuwachukia, kuwapora na kuwafilisi wafanyabiashara. Aliendesha nchi kwa kukandamiza kila kundi nchi hii. Uchumi aliudidimiza.

Serikalini alijaza ndugu na kabila lake ambalo ndiyo walikuwa wakiiba na kutafuna fedha ya nchi hii.
Aliichukia demokrasia kabisa, aliiba uchaguzi na alizima internet siku ya uchaguzi, na baadaye kuwafanya baadhi ya wanasiasa wa upinzani kuhama nchi. Na mbaya zaidi alitungas heria kandamzi za habari na wanahabari na alianzisha kikundi cha wasiojulikana.

Wa 2021 - mpk sasa.
Rais wa sasa kinchomharibia ni ulaghai
. Anatoa ahadi nyingi zenye muelekeo mwema lakini kumbe deep down her soul hakusudii kutimiza ahadi yake. Aliwafurahisha wapinzani kwa mazungumzo marefu ya maridhiano ambayo mwisho wa siku yalikuwa danganya toto. Akaanzisha kikosi kazi cha kuunda tume huru , lkn kumbe hakumaanisha, aliahidi katiba mpya nayo pia amechomoa.

Pia rais huyu, inaelekea serikali yake "imepigwa kopi na wahuni" (msemo wa H. Polepole), ama kwa maneno ya mwalimu Nyerere tunasema serikali ya mama "imewekwa mfukoni". Anaonekana kapokwa madaraka kabisa, kubakia na cheo cha urais tu, lkn serikali inaendeshwa na wahuni.

Fedha za serikali zinachotwa mama hasemi, bei za bidhaa zinapanda hovyo mama hasemi.

2025 tunawataka watanzania wote wenye akili, wenye nafasi ndani ya jamii, ndani na nje ya ccm/serikalini, mfanye jambo litakaloinusuru nchi hii. Tunahitaji mtu atakayekuwa na sifa za uongozi, siyo uongozi wa sifa.
Tumpate kama wa 2015-2021 kwangu Mimi alikuwa Rais Bora Sana
 
Back
Top Bottom