Shindano kwa wapishi wa JF

Shindano kwa wapishi wa JF

The Boss tunapo plan chakula tunazingatia makundi haya:
1;umri
2:aina ya kazi
3:wagonjwa katika stage tatu
4:vegetarian
5:mazingira
sasa tuzingatie kigezo kipi


weka chakula cha kawaida tu kwa familia
watakula baba,mama watoto na babu na bibi wote kwa pamoja
 
Ndizi ruksa mkuu
sababu ni healthy kula ndizi
so ndizi aina zote ruksa

Ndo kusema nimeshinda mkuu??


Nasubiri jibu ili nijiandae kunyakua zawadi yangu ili tusijekudaiana kama mambo ya Superman...lol!!


Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
The Boss, Je pilau, biriani au mahindi ya kuchoma ruksa kwenye menu?
 
Last edited by a moderator:
duu hii inanikumbusha chanel 175 food network program chopped yeree uwiiii..
 
mkuu bado
je watu watakula ndizi wiki nzima..

Why not....mbona kuna watu wanakula mwaka mzima??

1. Unaweza kupika na nyama (tena ya kuchoma kidogo) + maharage
2. Au ukatengeneza kitu Waganda wanaita Msanyuse (mashed banana, peanut source na nyama choma)
3. Ndizi/samaki + maharage
4. Grilled ndizi + samaki mchuzi
5. Ndizi plantin za kuchoma (Mtu ambaye alishafika Kyaka huko Kagera anaelewa ninachosema)!
6. Ndizi za kichagga + nyama na tui la nazi!!
..........

bado hatujamaliza week mkuu??

Babu DC!!
 
Mkuu unataka kwa recipes za kibongo au hata international cuisine ambazo zinapikika kibongo...

Kuna vyakula vingine havina majina tuyafamuyo bali hutokana na ubunifu tu wa mpishi...
 
Mkuu unataka kwa recipes za kibongo au hata international cuisine ambazo zinapikika kibongo...

Kuna vyakula vingine havina majina tuyafamuyo bali hutokana na ubunifu tu wa mpishi...

Umeona eeeh kuna vyengine vitamuuu ila majina havina....

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Umeona eeeh kuna vyengine vitamuuu ila majina havina....

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Na hapo ndipo itapokuwa ngumu kuvitaja tu pasipo kuelekezana namna ya kuviandaa...

Anyway ngoja tuone mchakato utavyoenda...
 
Day 1
-yai, karanga, bagia, chai
-ndizi njegere na kipande cha samaki.
-salad na maziwa.
Day 2
-banana bread, omlette, chai
-coated potatoes, na kuku choma
-ndizi choma na kachumbari.
Day 3
-matoborwa, karanga na chai
-mihogo ya nazi na sato wa kuchoma
-makange ya kitimoto.
Day 4
-uji wa ulezi na sausage
-chips kuku.
-futari ya boga, viazi vitamu, mihogo na karanga.
Day 5
-yai ndani ya mashed potatoe na mango juice
-mchemsho wa ndizi, njegere na utumbo
-fruit salad na maziwa
Day 6
Utanitoa out
Kwa vile umezidi ubahili basi
-uji wa ulezi na yai la kuchemsha, na kipande cha tango.
-mchemsho wa viazi na kuku wa kinyamwezi
-mihogo ya kuchemsha, karanga za kukaanga na chai ya maziwa.
Day 7
snowhite anatualika kwa barberque na lots of wine kwake.
 
Last edited by a moderator:
Day 1
-yai, karanga, bagia, chai
-ndizi njegere na kipande cha samaki.
-salad na maziwa.
Day 2
-banana bread, omlette, chai
-coated potatoes, na kuku choma
-ndizi choma na kachumbari.
Day 3
-matoborwa, karanga na chai
-mihogo ya nazi na sato wa kuchoma
-makange ya kitimoto.
Day 4
-uji wa ulezi na sausage
-chips kuku.
-futari ya boga, viazi vitamu, mihogo na karanga.
Day 5
-yai ndani ya mashed potatoe na mango juice
-mchemsho wa ndizi, njegere na utumbo
-fruit salad na maziwa
Day 6
Utanitoa out
Day 7
snowhite anatualika kwa barberque na lots of wine kwake.

safiiiiiiiii hapo we ushashinda na hv una value added advantage!!!!!
 
day 1
1.mashed potato na chai ya rangi yeny hiliki
2.maziwa ya mtindi na viazi ya kuchemsha
3.samaki na ndizi bukoba vitakuw vyakcemsha,na juice y ukwaju

day 2
1.mtori
2.viazi mviringo nitachemsha hn vikaange na kitunguu
3.futari ya magimbi n chai ya maziwa yenye karafuu na zaatar (@farkihna ole wako usinipe ushindi)

day 3
1.supu ya mboga mboga(karoti cabbage tangawizi kidogo ,vitunguu w )na viazi vitamu hapa Kaunga atakatika vidole
2.chips na nyama ya mbuzi foiled.
3.maboga ya Nazi,na chai ya rangi this time itakuwa na tangawizi tu

day 4
1.smoothie ya embe,tikiiti maji na maziwa fresh ya baridi
2.mihogo ya kuchemsha ,dagaa za nyasa zenye karanga na juice ya nanasi
3.supu ya kambale mkavu na ndizi (just tossed)

day5
1.mahindi ya kuchemsha(ahahaaha au na huu ni ugali eti The Boss) na chai ya mchaichai
2.magimbi ya karanga na mboga za majani(kisamvu kitatulia hapa nafkiri)
3.ndizi mzuzu za kuchoma na samaki wa kuchoma pia ,plus salad ya nyanya na parachichi ,juice yoyote poa

day 6
1.uji wa mashed boga mixed na sauce ya karanga
2.mashalali (ndizi mshale laini) ya nyama y mbuzi,bila nyanya kitunguu,nazi,wala mafuta just chumvi !
3.mixer ya prawns,ngisi, pweza na salad ya colflower,karoti na zabibu kavu

day 7
1.supu ya ulimi
2.viazi vikuuu na sauce ya karanga yenye nyanya chungu wapi KOKUTONA
3.mixer ya kuku (nyamaa kuku vipande vidogo vidogo,pilipili kwa wingi wa kweli!,viazi ya kutupia,coliflower ikatwekwenye vishina vile)

uuuh kichwa kimeumaje sasa!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom