Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,494
Unaendeleaje bidada?
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani ndicho ninachompendea, akili na ubunifu hadi mkitanda. LOL
yani sikuwaaahi kuwaza asee!!!!Honestly speaking sikujua kama kuna maisha bila wali, ugali na ngano.
Ila itabidi spaggeti na macaroni isiwepo kwenye kundi la ngano.
Day 1;
A;chai rangi, magimbi ya kukaanga,roast maini na juisi fresh ya matunda
B;viazi vikuu vilivyoungwa na Karanga na njegere bila kusahau mbona za majani
C;futari ya mihogo,kunde ukishushia na chai ya maziwa na kipande cha chungwa
Day 2;
A;Maziwa fresh, omllete ,bagia za dengu na kipande cha tikiti maji
B;chips, mishikaki na salad(nyanya,vitunguu,karoti na tango) na glass ya red wine kupambana na cholestol
C;makande ,maziwa fresh na parachichi
Day 3;
A;uji wa ulezi uliochanganywa na maziwa mtindi ,siagi na Karanga
B;ndizi mshale za kupika na utumbo na juice ya ukwaju
C;fried coated potato with egg, salad (nyanya, kitunguu, carrot, pilipili na tango), kuku wa kukaanga na juice ya passion.
(dah! Siku heavy hii lazma iwe jumamosi)
Day 4;
A;chai rangi, sausage, maboga ya kuchemsha na kipande cha embe
B;firigisi za kusaga zilizochanganywa na mayai, ndizi za kuchoma, kachumbari na juice ya ubuyu
C;mchemsho wa mbogamboga na samaki, juice ya uyoga( hii juice weka mbali na watoto)
Day 5;
A;mihogo ya kuchemsha,chai ya maziwa na tango lenye mayonise
B;ndizi choma mbuzi choma, kachumbari na glass ya red wine
C;ndizi matoke zilizochanganywa na maharage, mboga za majani (hapa chinees itafaa) na chai ya maziwa
Day 6;
A;chai ya maziwa, vitumbua, yai la kuchemsha na juice ya parachichi
B;maboga ya nazi, maini roast na mboga za majani
C;futari ya viazi vitamu ilochanganywa na maharage na chai ya rangi
Day 7;
A;supu ya pweza, bagia za kunde na juice ya embe
B;salad ya matunda (embe,parachichi, ndizi, papai na tikiti) yenye asali baadae unashushia maziwa mtindi
C;kuku roast wa kusaga, na mkate wa mchele uliopakwa asali na juice ya uyoga.
Nb; kila mlo hapo utaseviwa na maji ya kunywa safi na salama
menu hii nimezingatia upishi wa asili na kisasa, na makundi yote ya chakula...bila kusahau vyakula maalum (aphrodisiac) kama vile juice ya uyoga, asali, supu ya pweza, parachichi na wine kumuweka mzee fit......
ok! Good.......
naomba juisi ya uyoga.
Ukimaliza utafiti uta ni cc