SanaaaWanaofatilia BIG BROTHER wanajikutaga wa kishua sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona mimi masikini na sio wa kishua ila naipenda na kuifuatilia snSanaaa
Wanajiona wamepatia sana maishaa
Namna ya kupata mtu uliyechat naye hiyo chat.Ndiyo vijana wa siku hizi wanavyodai
NotedNamna ya kupata mtu uliyechat naye hiyo chat.
1. fungua chat unayodhania kuwa ndo inahusika
2. select all (ctrl+A), then copy (ctrl+c)
3. nenda ukapaste kwenye word or notepad
4. mwanzoni utaona vichwa vya chats zingine lakin ukiscroll down utakuta sehemu ambayo chats za hiyo window zinasomeka zote
5. Au unaweza ukaseach keyword mfano "sepetu" utaona ile txt ulichat na nani
Show off tu watu wana hela za kuchezea