Shindano la big brother lina maudhui gani?

Shindano la big brother lina maudhui gani?

Naomba kujua kuhusu hili shindano la BIG BROTHER. Yaani huwa sielewagi watu wanashindanishwa nini na mshindi anapatikanaje.

Kila nikiingia kwenye hiyo channel naona vijana wadogo wamefungiwa mahali wanakula bata humo ndani halafu baadae anatangazwa mshindi.

Kuna watu hawalali, wakifatilia hili shindano... Sasa mimi sijui ni ushamba au nini sielewagi kabisaaa
Hili shindano Lina maadili gani pia kwa Hao washiriki na watazamaji maana naona kuna muda washiriki wanafanya sex usiku au kwenye swimming pool.

Hebu naomba leo mnitoe ushamba jamani...
ETI KWENDA NA WAKAT!!
#FOOL
 
Gafla nimemkumbuka Bhoke. Looong time ago, I mean zaidi ya muongo mmoja uliopita alituabishaga sana wabongo kwenye Big brother Africa hahahaaa yule binti bana dah.
 
DSTV channel no 198 kama sijakosea
Niliwahi angaliaga hii, nilichokiona ni kuwa artificial life style ndo imetawala niliitafsiri ni kama show ya ku fake sana maisha na ukiwa mfuatiliaji uliepitiliza unaeza jikuta una apply ulichokiona mule, sikuwahi kuifualltilia kwa kweli.
 
Back
Top Bottom