Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Wakishua siyo eeh 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakishua siyo eeh 😀
Kwanini ningekuwa nakimbiza insta 😄Na ushukuru Mungu haukuelewa, ungethubutu kuelewa huenda leo hii ungekua ni mmoja wa watu wanaokimbiza sana huko Ista kwa mapicha na marangirangi😃
Vijana wengi waliojilazimisha kuiga na kupenda interest zisizo na kichwa wala miguu, waliishia kuwa dragged kwenye visikireti sosayate uchwara vilivyokua vinawawezesha kiuchumi na in exchange of exercing matabia ya hovyoKwann ningekuwa nakimbiza insta 😄
Kweli aisee ukiendekeza unajikuta na wewe unafanya mambo ya ajabu ajabuVijana wengi waliojilazimisha kuiga na kupenda interest zisuzo na kichwa wala miguu waliishia kuwa dragged kwenye visikireti sosayate uchwara vilivyokua vinawawezesha kiuchumi na in exchange of exercing matabia ya hovyo
ETI KWENDA NA WAKAT!!Naomba kujua kuhusu hili shindano la BIG BROTHER. Yaani huwa sielewagi watu wanashindanishwa nini na mshindi anapatikanaje.
Kila nikiingia kwenye hiyo channel naona vijana wadogo wamefungiwa mahali wanakula bata humo ndani halafu baadae anatangazwa mshindi.
Kuna watu hawalali, wakifatilia hili shindano... Sasa mimi sijui ni ushamba au nini sielewagi kabisaaa
Hili shindano Lina maadili gani pia kwa Hao washiriki na watazamaji maana naona kuna muda washiriki wanafanya sex usiku au kwenye swimming pool.
Hebu naomba leo mnitoe ushamba jamani...
Wakishua siyo eeh 😀
Dada! 😂😂😂Hii stlye huwa nzuri na huyu jamaa analamba hapo katikati kule anaweka kwa kishindo nakutoa halafu ananyonya na hizo chuchu kama anaila hivi halafu anaitoa kistlye yake raha kweli hii style
Alipiga nyeto camera zikamnasaalifanya ninii
hawana TIN namba au 😀
Kama itawezekana tukaenda wote hakuna tatizo; sema neno moja tu, mi niko tayari.unataka kuniambia na wewe ni mfuasi wa hili shindano?
Niliwahi angaliaga hii, nilichokiona ni kuwa artificial life style ndo imetawala niliitafsiri ni kama show ya ku fake sana maisha na ukiwa mfuatiliaji uliepitiliza unaeza jikuta una apply ulichokiona mule, sikuwahi kuifualltilia kwa kweli.DSTV channel no 198 kama sijakosea
Usitujazie tu uzi wetu wa rikiboyNgoja na mie niende kwa jirani nivizie hiyo mida nitizame BBA. Nitakuja na mrejesho.
Hahahaaa.....Usitujazie tu uzi wetu wa rikiboy