Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli, ila huwa nabeba kisimbuzi na remote yake.Mkuu, kuweka remote chumbani haitoshi, watoto wanahamisha direct kwenye decor.
Ha ha haaaa. Bhoke na yule mwenzake Ernest kama sikosei.Me niliacha miaka ile Bhoke wetu alipokuwa analiwa mbele ya camera, nikasema huu ni ujinga
He heeeNi kweli, ila huwa nabeba kisimbuzi na remote yake.
Nyumbani kwangu nina Visimbuzi viwili, pamoja na Azam, kwahiyo huwa naondoa cha Dstv nawaachia Azam TV
Hahaha............ila lazima ujue kulenga, wengine sisi hutoa visingizio kila siku...kwahiyo ni mwendo wa kukopa hadi Ukimbie ππππsi mchezo...halafu kuna mtu anasema tuache kudate na vibabu thubutuuuuu
Nadhani ni huyo huyo, kusema kweli Bhoke alitukosea sanaHa ha haaaa. Bhoke na yule mwenzake Ernest kama sikosei.
Alikuwa anatekeleza matakwa mkuu! Waliotukosea ni wazazi wake kumruhusu aende hukoNadhani ni huyo huyo, kusema kweli Bhoke alitukosea sana
Asante.Wanasema ukiona Kipindi hukielewi, huenda haukuwa Mlengwa.
Kutokana na Umri, kwasasa nimekuwa sifatilii Big Brother tena, ingawa wakati nilipokuwa kwenye lika la adolescent nilikuwa muhanga wa kukitazama miaka ile ya Akina Mwisho Mwampamba, baadaye akina Richard n.k
==============
Kuna baadhi ya Filamu/Vipindi vya TV kutokana na maadili yetu havistahili kutazamwa.
Hiyo Program ya Big Brother na nyingine zenye mlengo huo, zimeanzishwa kwaajili ya ku-brainwash Vijana wetu ili waone mambo ya ngono na kukaa na vichupi chupi mbele ya Wazee wao ni jambo la kawaida.
Kama una vijana wako nyumbani, ni heri Remote ikafichwa chumbani kwa Baba.
Ni heri kuitwa Mzee Mnoko kuliko kuharibu kizazi chako kwa mikono yako.
πAsante.
Mbona wengine walikuwa hawaliwi, unaweza kuta alitaka kuuza tu maana alikuwa anaonekana Dunia nzimaAlikuwa anatekeleza matakwa mkuu! Waliotukosea ni wazazi wake kumruhusu aende huko
Kumbe hii ilitukera wengi asee, ila nilikuwa narudia rudia mana alikuwaga na macho fulani ya kulegea balaa sana. aliliingizia aibu taifa.Nadhani ni huyo huyo, kusema kweli Bhoke alitukosea sana
Ilikuwa aibu sana, useme watu wamesahau tu.Kumbe hii ilitukera wengi asee, ila nilikuwa narudia rudia mana alikuwaga na macho fulani ya kulegea balaa sana. aliliingizia aibu taifa.
Masoud aliachana na maisha plus baada ya wanasiasa kuingilia na kutaka umaarufu kupitia maisha plus huku wakiharibu maudhui ya kipindiSiku hizi hamna nadhani Masoud yupo busy kutengeneza magari
Nazimekolea my dear karibuMy favorite napenda sana kande zikolee nazi
ila shindano lake lilikuwa zuri sanaMasoud aliachana na maisha plus baada ya wanasiasa kuingilia na kutaka umaarufu kupitia maisha plus huku wakiharibu maudhui ya kipindi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa naipenda kipindi kile inajumuisha nchi zote za Africa maana kulikuwa kuna kaushindani ka kitaifa, halafu ile season ya kwanza ya kina Mwisho mwampamba na kidogo ya kina Richard ilikuwa na uhalisia, zilizofuata watu walikuwa wanaigiza sanaKuna mshikaji mmoja natamani nimtag aje atoe neno hapa maana kukiwa na BB siku hiyo mkizubaa hakuna kitakachoendelea kisa anaangalia show.
Maudhui yake nadhani, mbali na kuburudisha hasa katika kizazi hiki kinachoabudu celebrities hata kama hawana kipaji cho chote, ni kuonyesha ushindani; na hasa undumilakuwili na unafiki wa binadamu maana mule hakuna kuaminiana. Hata mtu mnayenyanduana naye anaweza kukugeuka wakati wo wote na kukuleftisha.
Ni show isiyoeleweka hasa katika uwasilishaji wake wa maudhui japo inapendwa sana na vijana wa kizazi kipya wanaotafuta mashujaa wapya na role models katika maisha yao.
Mbona Mimi wa mbarali lakini season zote 7 nmefatiliaWanaofatilia BIG BROTHER wanajikutaga wa kishua sana π€£π€£π€£