Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Uko sahihi kabisa💪
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sure upo sahihi naona vipindi kama hivi vinatumiwa kuwafanya vijana waone dhambi sio dhambiWanasema ukiona Kipindi hukielewi, huenda haukuwa Mlengwa.
Kutokana na Umri, kwasasa nimekuwa sifatilii Big Brother tena, ingawa wakati nilipokuwa kwenye lika la adolescent nilikuwa muhanga wa kukitazama miaka ile ya Akina Mwisho Mwampamba, baadaye akina Richard n.k
==============
Kuna baadhi ya Filamu/Vipindi vya TV kutokana na maadili yetu havistahili kutazamwa.
Hiyo Program ya Big Brother na nyingine zenye mlengo huo, zimeanzishwa kwaajili ya ku-brainwash Vijana wetu ili waone mambo ya ngono na kukaa na vichupi chupi mbele ya Wazee wao ni jambo la kawaida.
Kama una vijana wako nyumbani, ni heri Remote ikafichwa chumbani kwa Baba.
Ni heri kuitwa Mzee Mnoko kuliko kuharibu kizazi chako kwa mikono yako.
Maisha Plus ilikuwa nzuri sana hasa ile ya kwanza na ya pili... Kipanya sijui alikwama wapi ni kwamba amekosa wadhamini kabisa akarudisha lile shindano au?Mi nilipenda sana maisha plus ila hiyo big brother watu wanafanya vitu vya hovyo kabisa.
Wanapima vitu kibao kama sex intention yaani ile watu wanaoga pamoja wote wapo uchi ,lakini eti mwanaume asione tamaa ila wengine wananyanduana wanashindwa na wanakosa point za kuendelea yaani hovyo sielewi.
Kuna mambo ya kishetani yanakuwa promoted kwenye jamii zetu yaonekane kuwa ni ya kawaida.sure upo sahihi naona vipindi kama hivi vinatumiwa kuwafanya vijana waone dhambi sio dhambi
Sure....naona hata ushoga siku hizi unakuwa promoted waziwazi hasa huko tiktokKuna mambo ya kishetani yanakuwa promoted kwenye jamii zetu yaonekane kuwa ni ya kawaida.
Kama hatutaweza kushtuka mapema tutakuja kuwa na kizazi cha hovyo sana miaka 50 ijayo
Nimekufanyaje??We binti Maua une kuwaje siku izi😂🙃
Acha kizazi cha watu angalia chakoKuna mambo ya kishetani yanakuwa promoted kwenye jamii zetu yaonekane kuwa ni ya kawaida.
Kama hatutaweza kushtuka mapema tutakuja kuwa na kizazi cha hovyo sana miaka 50 ijayo
Poa mzima, sisi hatujambo karibu makande ya nyama na kachumbariDada shikamoo
Habari za huko
🤣🤣🤣🤣
Hii stlye huwa nzuri na huyu jamaa analamba hapo katikati kule anaweka kwa kishindo nakutoa halafu ananyonya na hizo chuchu kama anaila hivi halafu anaitoa kistlye yake raha kweli hii style
Dstv_____no 198.I
Iyo big brother ipo king'amuzi gani na inarushw channel gan ??
Samahani mkeo na dada zako ndio mashetani mie nasema nilivyoona hii style nisiseme??🍆🤤……..Not today Satan, not today! 😂😂😂View attachment 2712557
🙏🙏Uko sahihi kabisa💪
Nilikuwa nasubiria hii comment 🤣Hii stlye huwa nzuri na huyu jamaa analamba hapo katikati kule anaweka kwa kishindo nakutoa halafu ananyonya na hizo chuchu kama anaila hivi halafu anaitoa kistlye yake raha kweli hii style
Siku nitafute nikufanyie hiyo uinjoi binti mauaHii stlye huwa nzuri na huyu jamaa analamba hapo katikati kule anaweka kwa kishindo nakutoa halafu ananyonya na hizo chuchu kama anaila hivi halafu anaitoa kistlye yake raha kweli hii style
Umesema vyemaWanasema ukiona Kipindi hukielewi, huenda haukuwa Mlengwa.
Kutokana na Umri, kwasasa nimekuwa sifatilii Big Brother tena, ingawa wakati nilipokuwa kwenye lika la adolescent nilikuwa muhanga wa kukitazama miaka ile ya Akina Mwisho Mwampamba, baadaye akina Richard n.k
==============
Kuna baadhi ya Filamu/Vipindi vya TV kutokana na maadili yetu havistahili kutazamwa.
Hiyo Program ya Big Brother na nyingine zenye mlengo huo, zimeanzishwa kwaajili ya ku-brainwash Vijana wetu ili waone mambo ya ngono na kukaa na vichupi chupi mbele ya Wazee wao ni jambo la kawaida.
Kama una vijana wako nyumbani, ni heri Remote ikafichwa chumbani kwa Baba.
Ni heri kuitwa Mzee Mnoko kuliko kuharibu kizazi chako kwa mikono yako.
Ukiwa na mawazo ya hivyo hatutakuwa na haja ya kujenga nyumba nzuri kwaamana hatuna miaka 10 au 20 zaidi ya kuishi.Acha kizazi cha watu angalia chako
Na Idris naye naona Ile hela Kuna namna inakuwa inaisha bila muhusika kujuaMwisho Mwambapa,
Richard
hao ni wa Tanzania waliwahi kushiriki big brother huko kwa mzee Mandela, wakasinda, japo nasikia hela hiyo nayo ni kama ina mapepo hivyo ikaishia kwa mrembo mmoja hapa bongo.
Pengine ni kuonesha maisha yako halisi, japo ya huko sometimes ni aibu kutazama