Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
🤣🤣🤣🤣Sanaa,,Kuna nyumba Moja ya kishua sana nilikuta vitoto vyao vinawajua members woteee na tabia zao,nikasema heeeeWanaofatilia BIG BROTHER wanajikutaga wa kishua sana 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Sanaa,,Kuna nyumba Moja ya kishua sana nilikuta vitoto vyao vinawajua members woteee na tabia zao,nikasema heeeeWanaofatilia BIG BROTHER wanajikutaga wa kishua sana 🤣🤣🤣
Shukrani Mkuu 🙏Umesema vyema
Itakuwa naye alihonga yoteNa Idris naye naona Ile hela Kuna namna inakuwa inaisha bila muhusika kujua
Si unaona. Museveni wameshamla kichwa. Na sisi Waafrika tulivyo wajinga. Badala tuungane na kuukataa huu ujinga na ajenda zao hizi ndo kwanza tunachekelea. Si ajabu Uganda itateseka kama Zimbabwe na wakiona wanachelewa basi wanamwondoa...Hata shows kama BB ajenda ni hizi hizi tu!Kuna mambo ya kishetani yanakuwa promoted kwenye jamii zetu yaonekane kuwa ni ya kawaida.
Kama hatutaweza kushtuka mapema tutakuja kuwa na kizazi cha hovyo sana miaka 50 ijayo
Wanafanya hivyo ili Vijana wetu waone Ushoga ni jambo la kawaida.Sure....naona hata ushoga siku hizi unakuwa promoted waziwazi hasa huko tiktok
Niliitoa hii app kwenye simu yangu maana ni ushetani mtupu
Na washiriki wengi ni vijana age 20-25 ambao ni rahisi kuhamasikaBig brother ni moja ya mipango miovu ya shetani kuangamiza kizazi chetu, especially vijana.
Imagine washiriki wanavyonyanduana mbele ya camera, na watu wamekaa sebuleni wanaagalia comfortably kabisa. Unafikiri nini kinapandikizwa akilini mwao?
Ndio mtu akitoka hapa na yeye anataka afanye ngono anajirekodi, na upuuzi mwingine tu wa kutaka kila kitu ajiamlie mwenyewe.
Hawa Wazungu ni hovyo sana, najua kisa cha kumfanyia hayo yote ni yeye kupitisha ile sheria ya kupinga Ushoga.Si unaona. Museveni wameshamla kichwa. Na sisi Waafrika tulivyo wajinga. Badala tuungane na kuukataa huu ujinga na ajenda zao hizi ndo kwanza tunachekelea. Si ajabu Uganda itateseka kama Zimbabwe na wakiona wanachelewa basi wanamwondoa...Hata shows kama BB ajenda ni hizi hizi tu!
View attachment 2712578
Ilikuwa bomba sanaMaisha Plus ilikuwa nzuri sana hasa ile ya kwanza na ya pili... Kipanya sijui alikwama wapi ni kwamba amekosa wadhamini kabisa akarudisha lile shindano au?
Mimi BB sijawahi kuilewa kwa kweli...
Mimi huwa nikiona channel inaniharibia watoto, huwa naiblock immediately. Uzuri password za ku-unblock nazijua mwenyewe tu.Kama una vijana wako nyumbani, ni heri Remote ikafichwa chumbani kwa Baba.
Hahaha...................waje tuwaonjeshe za kiafrika, huenda wakabadiri mtazamo 😅Wanatuonea wivu tunavyoenjoy mb*o
Hii ni muhimu sana, binafsi nalipia DSTv kwaajili ya EPL tu, kama hakuna mechi basi remote huwa nabaki nayo chumbaniMimi huwa nikiona channel inaniharibia watoto, huwa naiblock immediately. Uzuri password za ku-unblock nazijua mwenyewe tu.
Wakishaona haionekani wanajua hapa mzee kaona kuna mambo hayako sawa.
Ngoja na mie niende kwa jirani nivizie hiyo mida nitizame BBA. Nitakuja na mrejesho.DSTV channel no 198 kama sijakosea
Kuna mambo ya kishetani yanakuwa promoted kwenye jamii zetu yaonekane kuwa ni ya kawaid
Me niliacha miaka ile Bhoke wetu alipokuwa analiwa mbele ya camera, nikasema huu ni ujingaNa ndio lengo lao hilo, kwamba jambo ambalo sio la kawaida lionekane la kawaida.
Unaona wale washiriki wanakulana mbele ya camera, si wana familia wale? Maana yake familia zao zilishaanza kuona ni vitu vya kawaida kabisa
Hadi sisi Wazee tunafikia hatua ya kuhonga Vibinti Pension zetu zote kwa show zao 🙈🏃🏃🏃Zilivyo za moto 😋
Tangu nizaliwe, nikijumlisha muda wote niliowahi kukaa nikaangalia hiyo Big Brother, sidhani kama zinafika dakika 3.Naomba kujua kuhusu hili shindano la BIG BROTHER. Yaani huwa sielewagi watu wanashindanishwa nini na mshindi anapatikanaje.
Kila nikiingia kwenye hiyo channel naona vijana wadogo wamefungiwa mahali wanakula bata humo ndani halafu baadae anatangazwa mshindi.
Kuna watu hawalali, wakifatilia hili shindano... Sasa mimi sijui ni ushamba au nini sielewagi kabisaaa
Hili shindano Lina maadili gani pia kwa Hao washiriki na watazamaji maana naona kuna muda washiriki wanafanya sex usiku au kwenye swimming pool.
Hebu naomba leo mnitoe ushamba jamani...
Mkuu, kuweka remote chumbani haitoshi, watoto wanahamisha direct kwenye decor.Hii ni muhimu sana, binafsi nalipia DSTv kwaajili ya EPL tu, kama hakuna mechi basi remote huwa nabaki nayo chumbani