Shindano la kutembea kwenye kamba katika urefu wa juu wa zaidi ya mita 200 angani lafanyika Zhangjiajie, China

ldleo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
1,116
Reaction score
1,121
Shindano la kutembea kwenye kamba angani limefanyika katika Bustani ya Kitaifa ya Misitu ya Huangshizhai huko Zhangjiajie, China. Watu 10 wameshindana kwa kutembea juu ya kamba kwa urefu wa juu wa zaidi ya mita 200 angani.


 
Na ikitokea mmoja kateleza inakuwaje?
Yoko salama na ataendelea kuwa salama, sababu huwa kuna kamba imefungwa kiunoni, yenye urefu usiozidi 2m, hivyo atakuwa akininginia na kujirudisha tena kwenye kamba husika ya kutembelea
==
uki Zoom icha utaona kamba kwa nyuma kama kamkia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…