grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 3,943
- 5,550
Hauwezi elewa mkuu ila huwa tukipishana na mizigo halafu tusipoangalia tunafedheheka kabisa na kukosa uchangamfu ila ukiangalia unahisi kama kuna mzigo flani hivi umeutua yaani hadi kuhema unahema kwa amani .na furaha inarejea ...Hivi wanaume huwa mnapata raha gani kuangalia chura zetu? Mi huwa sipendi hyo tabia kweli kweli maana naona aibu hafu mibaba mizima ndo imekubuhu.
Mkuu natamani kupishana na wewe[emoji1] [emoji1] [emoji1]Hivi wanaume huwa mnapata raha gani kuangalia chura zetu? Mi huwa sipendi hyo tabia kweli kweli maana naona aibu hafu mibaba mizima ndo imekubuhu.
So ww una chura!Hivi wanaume huwa mnapata raha gani kuangalia chura zetu? Mi huwa sipendi hyo tabia kweli kweli maana naona aibu hafu mibaba mizima ndo imekubuhu.
So ww una chura!
Angalia hapa wazee wazito wameshindwa jizuia HII NI NATURAL MAMA!Hahaaaaa staki kabisa yani yaangaliwe. Mi nikimuona mwanaume wa hivo namjua ni mende had nitakimbia
Mkuu natamani kupishana na wewe[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mh nahisi unaye wa haja kwa kuwa hadi unaogopa kuangaliwa ?Sina mkuu
Angalia hapa wazee wazito wameshindwa jizuia HII NI NATURAL MAMA!View attachment 929914
Mh nahisi unaye wa haja kwa kuwa hadi unaogopa kuangaliwa ?
Wewe unajuaje kama unaangaliwa???Hivi wanaume huwa mnapata raha gani kuangalia chura zetu? Mi huwa sipendi hyo tabia kweli kweli maana naona aibu hafu mibaba mizima ndo imekubuhu.
Unajutia kukosa chura..!duuu
Raha yake haielezeki mkuu ila ukishacheki unajikuta tu unahisi amani flani hivi.[emoji23]Sasa ndo mnapata raha gani
Raha yake haielezeki mkuu ila ukishacheki unajikuta tu unahisi amani flani hivi.[emoji23]
Naogopa laana maana umri huo Ni wa mama zanguHujawahi kukutana na 40yrs alijaariwa lazima tu utageuka,mf mama sanchi
Uchungu Ni hisia...utaueleze vipi hututaelewa ...ukimueleza mwanamke mwenzio aliyezaa ataelewa unaongelea niniUchungu unaelezeka mbona vzuri mkuu
Usiogope mkuu ntakusalimia tu na kukuacha uendelee na safari yakoHahaaaaa haku mimi
[emoji23] [emoji23] dah! Watt sijawahi kama wapo wanaocheki watoto basi ni pedophiles huyo.Nyie huwa mnaabgalia had flat screen had watoto wadogo. Sasa hujiuliza kuliko ni?
Wewe unajuaje kama unaangaliwa???