Shingo inauma kwa sababu ya kutazama makalio ya wakina dada

Wadada wenye misambwanda mnakazi sana

Bora ya sie kina flatscreen
 
Unamiaka mingapi Ndege Faru?
 
Hivi wanaume huwa mnapata raha gani kuangalia chura zetu? Mi huwa sipendi hyo tabia kweli kweli maana naona aibu hafu mibaba mizima ndo imekubuhu.
Unconscious action!!,yaani basi tu,hutokea,its a man thing!
 
Kama mwanaume kamili,lazma ugeuke,lkn kama gasho unaona normal to,
 
Mbona picha hakuna?
 
Hivi wanaume huwa mnapata raha gani kuangalia chura zetu? Mi huwa sipendi hyo tabia kweli kweli maana naona aibu hafu mibaba mizima ndo imekubuhu.
Thamani ya kondoo mkia wake ulivyonona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…