nasrimgambo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2017
- 1,902
- 2,488
Kushusha mamlaka mkoani ni upuuzi,Lengo la serikali ya majimbo ni kushusha madaraka mpaka mikoani, hiyo hofu ya kujitenga mnaitoa wapi?
Kwanini mnampa kiongozi wa nchi mamlaka makubwa ya kuwateulia watu kiongozi wa mkoa ilihali raia wa eneo hilo wanaweza kufanya hilo?
Taifa linapoteza umoja