LGE2024 Shinyanga: Apatikana na karatasi za kura ambazo zimepigwa kwa mgombea wa CCM zaidi ya 100

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Pesa za kuajiri halitosis,halafu uchaguzi pesa zinatumika nyingi wakati unaambatana na udanganyifu,kwanini isipitishwe sheria bungeni kua vyeo vyote kuwe kunafanyika uteuzi,ili kuokoa mabilioni ya pesa?
Hii inauma sana,watu tunapigika kitaa,tunajaribu mishe mbalimbali zinagoma,tunasema walau ajira zunaweza kutupa mitaji,halafu walioshikilia makali wanaazimia kufanya uchaguzi ambao unaambatana na visa vya udqnganyifu na mauaji baadhi ya sehemu.
Inakera sana,ila ipo siku.
 
Afrika ngumu sana, yaani kitu ambacho inatakiwa kifanyike kwa uwazi na demokrasia nacho kimetushinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…