Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
Wanafunzi watatu wa shule ya msingi Buhangija na kituo cha elimu maalumu Buhangija Manispaa ya Shinyanga wamepoteza maisha, baada ya bweni la wasichana walilokuwa wamelala kuungua moto usiku wa kuamkia leo huku wengine wakinusurika baada ya kuokolewa
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga Janeth Magomi amethibitisha kutokea tukio hilo ambapo amesema moto huo umeanza kuwaka majira ya saa tano usiku wakati wanafunzi 32 wakiwa wamelala ndani ya bweni hilo
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga Janeth Magomi amethibitisha kutokea tukio hilo ambapo amesema moto huo umeanza kuwaka majira ya saa tano usiku wakati wanafunzi 32 wakiwa wamelala ndani ya bweni hilo