Shinyanga: DC Mtatiro aamuru Aliance Motion Global kufungwa kwa tuhuma za kukusanya vijana na kuwatapeli

Shinyanga: DC Mtatiro aamuru Aliance Motion Global kufungwa kwa tuhuma za kukusanya vijana na kuwatapeli

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa kamili hapo chini:

Yaleyale ya ile kampuni ya QNET

Siku za hivi karibuni kampuni ya Aliance Motion Global imekuwa ikiripotiwa sana kwa kukusanya vijana kutoka sehemu mbalimbali kwa ajiri ya kuwapa mafunzo na kuwapatia ajira huku wakiwatoza vijana hao pesa nyingi na kuwapa bidhaa kwa ajili ya kuuza.

Suala hilo limemfikia Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Wakili Julius Mtatiro, ambaye ametoa agizo la kuifungia kampuni ya Aliance Motion Global na kuwataka kutofanya shughuli hiyo tena kwani wakionekana watakamatwa.

Pia soma > DOKEZO - Tahadhari: Utapeli wa watu waliojificha nyuma ya biashara ya kimtandao ya ‘Alliance in Motion Global’

ITV
 
Kupigwa marufuku hakutoshi.kwa Nini wasichukuliwe hatua kama kweli ni matapeli?
 
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Wakili Julius Mtatiro, ametoa agizo la kuifungia kampuni ya Aliance Motion Global, kwa tuhuma ya kufanya utapeli kwa kuwakusanya vijana kutoka maeneo mbalimbali ya nchini na kuwalaghai kuwa watawapatiwa kazi huku wakiwatoza fedha.

Kuna kampuni inajiita Alliance Motion Global iko Mkoa wa Shinyanga. Mabosi wake waliwapigia watu wa mikoa tofauti walitangaza magazetini wanatoa nafasi za kazi.

Unatakiwa kulipa lak 1 plus. Jamaa wakaitwa wamefika wakapewa kozi wamekaa wiki kadhaa hawaoni kozi inaisha lini.

Wakiuliza kazi wanambiwa una haraka nenda kwenu. wakachoka wameenda kwa Mkuu wa Wilaya Julius Mtatiro. Wamelia mpaka unawaonea huruma.

Jamani Watoto wetu kweli wanalipiwa na wazazi toka Moshi, Arusha, Mbeya kwenda Shinyanga unafika unasema kazi walizotarajia walipomaliza kozi ati zilishajazwa aiseee.

Mkuu wa Wilaya hawa wekeni ndani hao Watoto ni wa masikini wengine wameuza na mbuzi na ngombe kupata nauli jamani.
 
KUNA KAMPUNI INAJIITA ALLIANCE GLOBAL IKO SHINYANGA

MABOSI WAKE WALIWAPIGIA WATU WA MIKOA TOFAUTI WALITANGAZA MAGAZETIN WANATOQ KAZI

UNATAKIWA KULIPA LAK 1 PLUS

JAMAA WAKAITWA WAMEFIKA WAKAPEWA KOZI

WAMEKAA WIKI KADHAAAA HAWAON KOZI INAISHA LIN

WAKIULIZA KAZI WANAMBIWA UNA HARAKA NENDA KWENU

WAKACHOKA WAMEENDA KWA MKUU WA WILAYA J.MTATIRO

WAMELIA MPAKA UNAWAONEA HURUMA



JAMAN WATOTO WETU KWELI WANALIPIWA NA WAZAZI TOKA MOSHI ARISHA MBEYA KWENDA SHY UNAFIKA UNASEMA KAZI WALIZOTARAJIA WALIPOMALIZA KOZI ATI ZILISHAJAZWA AISEEE

MKUU WA WILAYA HAWA WEKEN NDANI HAO WATOTO N WA MASIKIN WENGINE WAMEUZA NA MBUZI NGOMBE KUPATA NAULI JAMAN

SRC ITV
Hawa matapeli ni wa siku nyingi. Wanaita watu kambini na kuwaambia waende na mahindi, na vyakula mbali mbali. Huu utapeli serikali ina ubia? Mbona ni rahisi sana kuukomesha.?
 
Hawa matapeli ni wa siku nyingi. Wanaita watu kambini na kuwaambia waende na mahindi, na vyakula mbali mbali. Huu utapeli serikali ina ubia? Mbona ni rahisi sana kuukomesha.?
Sanaa alafu waliopigwa wengi wana o level na diploma nk wengine aisee mbafuu kabisaa
 
Kuna dogo nilisafiri nae wiki jana akasema anaenda shinyanga kuna mchongo wa kampuni ya kimataifa wamewaita, isije kua hao
 
mpwaaaaaa wale wasabatooo awakwenda wenyewee watu walipita naoo wakaamin kanisa salama wakakomaaa Bible ndio passport

Walejamaa wana logaaaa wasikukute tu


Ulizaa waliolizwa na vyupa vya dhahabu dar enzi hizo

Mmmoja wapo nikamkuta kanisan ninalosali achakabisaaa enzihizo
 
Ukiona unaitwa kwenye fursa ujue wewe ndo fursa yenyewe... akili kumkichwa
 
Back
Top Bottom