mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Nchi hii ina wajinga wengi sanaNa hawatokuja kuisha
Hivi muajiri gani anayetaka umpe pesa akufundishe ndo akupe kazi??
Hata kutumia akili za kuvukia barabara watu wanashindwa??
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi hii ina wajinga wengi sanaNa hawatokuja kuisha
Hivi muajiri gani anayetaka umpe pesa akufundishe ndo akupe kazi??
Hata kutumia akili za kuvukia barabara watu wanashindwa??
Wazee wa good morning hata km usiku 😂😂Alliance Global wamejaa wanawake weupee why
Mmoja alinletea issue za alliance nka mu alliance her pussycat
heshima ikatawala akaweka hanitumii good morning boss anatuma
Goodmorning daddy
apana ukishawafikia watakutaka ulete watu wengine zaidi ili upate sijui ndo refferal commision yaani uhuni uhuni tuAlafu walioitwa huwa hawapendi kushare na wengine basi wanaona wamepata mchongo kumbe mchongoma unawachoma ss
hao jamaa ndo mfumo wanaoutumia huo!Cha kufanya na watoto wenu nao watafute watu wa kuwatapeli kulipiza machungu maana hao jamaa wenyewe pia hawana kazi wakajiongeza kuwatapeli nyie , kwahiyo na nyie mjiongeze Tz bado ina wajinga wengi mnaweza kujilipa
Hiki kikampuni koko nahisi ni cha mkubwa flani serikalini maana kwa matukio ya vijana kutapeliwa hawajaanza leo lakini bado wanaendelea kutapeli bila kuchukuliwa hatua yoyote!KUNA KAMPUNI INAJIITA ALLIANCE GLOBAL IKO SHINYANGA
MABOSI WAKE WALIWAPIGIA WATU WA MIKOA TOFAUTI WALITANGAZA MAGAZETIN WANATOQ KAZI
UNATAKIWA KULIPA LAK 1 PLUS
JAMAA WAKAITWA WAMEFIKA WAKAPEWA KOZI
WAMEKAA WIKI KADHAAAA HAWAON KOZI INAISHA LIN
WAKIULIZA KAZI WANAMBIWA UNA HARAKA NENDA KWENU
WAKACHOKA WAMEENDA KWA MKUU WA WILAYA J.MTATIRO
WAMELIA MPAKA UNAWAONEA HURUMA
JAMAN WATOTO WETU KWELI WANALIPIWA NA WAZAZI TOKA MOSHI ARUSHA MBEYA KWENDA SHY UNAFIKA UNASEMA KAZI WALIZOTARAJIA WALIPOMALIZA KOZI ATI ZILISHAJAZWA AISEEE
MKUU WA WILAYA HAWA WEKEN NDANI HAO WATOTO N WA MASIKIN WENGINE WAMEUZA NA MBUZI NGOMBE KUPATA NAULI JAMAN
SRC ITV
Kati ya anayetuma pesa na aliyetuma huo ujumbe na mwenye makosa?Hawa hawana tofauti ya tafadhali tuma kwenye namba hii
Na hawatoishaNchi hii ina wajinga wengi sana
Ova
Kinachoshangaza....hao jamaa ofisi zao hua zipo jirani tu na ofisi za Umma....wanakaa kimya mpaka watu waibiwe ndio wanawafungia!!!! Kwa nn wasiwe wanachukuliwa hatua mapema.....hao jamaa wamepiga kazi miaka...means weshaibia mamia kwa maelfu ya watu hadi wakachoka.Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili hapo chini:
Yaleyale ya ile kampuni ya QNET
Siku za hivi karibuni kampuni ya Aliance Motion Global imekuwa ikiripotiwa sana kwa kukusanya vijana kutoka sehemu mbalimbali kwa ajiri ya kuwapa mafunzo na kuwapatia ajira huku wakiwatoza vijana hao pesa nyingi na kuwapa bidhaa kwa ajili ya kuuza.
Suala hilo limemfikia Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Wakili Julius Mtatiro, ambaye ametoa agizo la kuifungia kampuni ya Aliance Motion Global na kuwataka kutofanya shughuli hiyo tena kwani wakionekana watakamatwa.
Pia soma > DOKEZO - Tahadhari: Utapeli wa watu waliojificha nyuma ya biashara ya kimtandao ya ‘Alliance in Motion Global’
ITV
Jamaa huwa wanapigilia pamba kali kali miksa kubeba vi notebook na dairy😅😅😅😅bongo raha saana.Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili hapo chini:
Yaleyale ya ile kampuni ya QNET
Siku za hivi karibuni kampuni ya Aliance Motion Global imekuwa ikiripotiwa sana kwa kukusanya vijana kutoka sehemu mbalimbali kwa ajiri ya kuwapa mafunzo na kuwapatia ajira huku wakiwatoza vijana hao pesa nyingi na kuwapa bidhaa kwa ajili ya kuuza.
Suala hilo limemfikia Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Wakili Julius Mtatiro, ambaye ametoa agizo la kuifungia kampuni ya Aliance Motion Global na kuwataka kutofanya shughuli hiyo tena kwani wakionekana watakamatwa.
Pia soma > DOKEZO - Tahadhari: Utapeli wa watu waliojificha nyuma ya biashara ya kimtandao ya ‘Alliance in Motion Global’
ITV