Kila siku huu utapeli unajirudia! Cha kushangaza wapigwaji hawaishi, na serikali nayo inajifanya iko usingizini. Sijui na yenyewe inanufaika na huo utapeli!!
Sahivi wako Mbeya pia, kuna mtu nlimsanua kuwa atapata tabu huko hakuna mchongo.Kuna dogo nilisafiri nae wiki jana akasema anaenda shinyanga kuna mchongo wa kampuni ya kimataifa wamewaita, isije kua hao
Forever living!KUNA KAMPUNI INAJIITA ALLIANCE GLOBAL IKO SHINYANGA
MABOSI WAKE WALIWAPIGIA WATU WA MIKOA TOFAUTI WALITANGAZA MAGAZETIN WANATOQ KAZI
UNATAKIWA KULIPA LAK 1 PLUS
JAMAA WAKAITWA WAMEFIKA WAKAPEWA KOZI
WAMEKAA WIKI KADHAAAA HAWAON KOZI INAISHA LIN
WAKIULIZA KAZI WANAMBIWA UNA HARAKA NENDA KWENU
WAKACHOKA WAMEENDA KWA MKUU WA WILAYA J.MTATIRO
WAMELIA MPAKA UNAWAONEA HURUMA
JAMAN WATOTO WETU KWELI WANALIPIWA NA WAZAZI TOKA MOSHI ARISHA MBEYA KWENDA SHY UNAFIKA UNASEMA KAZI WALIZOTARAJIA WALIPOMALIZA KOZI ATI ZILISHAJAZWA AISEEE
MKUU WA WILAYA HAWA WEKEN NDANI HAO WATOTO N WA MASIKIN WENGINE WAMEUZA NA MBUZI NGOMBE KUPATA NAULI JAMAN
SRC ITV
Ndiyo maana wanachukua watoto toka mbali vijijini huko ili iwe rahisi kuwatapeli.Mkuu hiko sio chuo...
Hao jamaa wanachokifanya wanakupa awareness, confidence, network, business ideas tu...
Wala hawalazimishi mtu. Masharti yako wazi.
Sema ndo hvyo..
+ wajinga wengiSahivi wako Mbeya pia, kuna mtu nlimsanua kuwa atapata tabu huko hakuna mchongo.
Ukosefu wa ajira, kuna kampuni uchwara zimegeuza fursa ya kutesa watoto wa watu,Lol
Haoohaooo ndugu na wamesema waliambiwa kampuni ya kmataifa sura za mabosii kama wachaga wotee kha amjasikia hata lafudhi mkashtukaKuna dogo nilisafiri nae wiki jana akasema anaenda shinyanga kuna mchongo wa kampuni ya kimataifa wamewaita, isije kua hao
Nchi hii ina wajinga wengi sanaWajinga ndo waliwao
wapo pia mwanza hapo na ni wa siku nyingi kweli!Hawa matapeli ni wa siku nyingi. Wanaita watu kambini na kuwaambia waende na mahindi, na vyakula mbali mbali. Huu utapeli serikali ina ubia? Mbona ni rahisi sana kuukomesha.?
Kashapigwa😅😅Kuna dogo nilisafiri nae wiki jana akasema anaenda shinyanga kuna mchongo wa kampuni ya kimataifa wamewaita, isije kua hao
kampuni ya kimataifa hahahKuna dogo nilisafiri nae wiki jana akasema anaenda shinyanga kuna mchongo wa kampuni ya kimataifa wamewaita, isije kua hao
Forever living!
Mavazi yao ni vikoti koti na vi tai tai bila kiyoyozi kwenye jua kali kama la Shy!
Kama wazazi, zuieni vishawishi vya ajira zisizokuwa na mbele wala nyuma kwa watoto wenu, hasa waliomaliza shule karibuni.
Maana wao huona kukaa nyumbani wakati mzazi unapiganisha hata upate hela ya ada ya VETA ni kazi, mwisho wa siku ndokuingia kwa matapeli kama hao!
Na hao watu, siyo Shy tu, wapo mokoa mingi ukienda Mza, Tbr nk utawakuta.
Ubaya ubwelaaaaaa ila huu wa maisha sioKashapigwa😅😅
Na hawatokuja kuishaNchi hii ina wajinga wengi sana
Na wanatumika kama fursa
Ya kujipigia
Ova