Shinyanga: DC Mtatiro aamuru Aliance Motion Global kufungwa kwa tuhuma za kukusanya vijana na kuwatapeli

Kila siku huu utapeli unajirudia! Cha kushangaza wapigwaji hawaishi, na serikali nayo inajifanya iko usingizini. Sijui na yenyewe inanufaika na huo utapeli!!

Si kama wa nyungu tu, tiba asili na zile pendwa za aina kule Tanganyika Packers na wale manabii?

Kwamba serikali haijui wagonjwa wa saratani, kisukari, ini, HIV, figo, nk wanapigwa mchana kweupe kwenye tiba pendwa hizo?
 
Mkuu hiko sio chuo...
Hao jamaa wanachokifanya wanakupa awareness, confidence, network, business ideas tu...
Wala hawalazimishi mtu. Masharti yako wazi.

Sema ndo hvyo..
 
Daa hata wao watoto wamezingua
Unatoa hela usiku tena kwa mtu alieshika likitabu tu tena mlangoni usiku
Dogo anauliza kwanini nisilipie ofisini anaambiwa boss kasema unipe
Kirahisi rahisi tu hivyo
Mbona humu mnaonekana wajanja wajanja na kung'amua mapema utapeli?
 
Kuna dogo nilisafiri nae wiki jana akasema anaenda shinyanga kuna mchongo wa kampuni ya kimataifa wamewaita, isije kua hao
Sahivi wako Mbeya pia, kuna mtu nlimsanua kuwa atapata tabu huko hakuna mchongo.

Ukosefu wa ajira, kuna kampuni uchwara zimegeuza fursa ya kutesa watoto wa watu,Lol
 
Forever living!
Mavazi yao ni vikoti koti na vi tai tai bila kiyoyozi kwenye jua kali kama la Shy!

Kama wazazi, zuieni vishawishi vya ajira zisizokuwa na mbele wala nyuma kwa watoto wenu, hasa waliomaliza shule karibuni.

Maana wao huona kukaa nyumbani wakati mzazi unapiganisha hata upate hela ya ada ya VETA ni kazi, mwisho wa siku ndokuingia kwa matapeli kama hao!

Na hao watu, siyo Shy tu, wapo mikoa mingi ukienda Mza, Tbr nk utawakuta.
 
Mkuu hiko sio chuo...
Hao jamaa wanachokifanya wanakupa awareness, confidence, network, business ideas tu...
Wala hawalazimishi mtu. Masharti yako wazi.

Sema ndo hvyo..
Ndiyo maana wanachukua watoto toka mbali vijijini huko ili iwe rahisi kuwatapeli.

Kusema hawalazimishi mtu ni sawa na kumtetea kiboko ya wachawi, unawekwa kwenye kundi moja.

Wapi uliona ama kusikia tapeli analazimisha?
 
Kuna dogo nilisafiri nae wiki jana akasema anaenda shinyanga kuna mchongo wa kampuni ya kimataifa wamewaita, isije kua hao
Haoohaooo ndugu na wamesema waliambiwa kampuni ya kmataifa sura za mabosii kama wachaga wotee kha amjasikia hata lafudhi mkashtuka
 
Wazazi, somesheni watoto wenu huku mkiwaandalia mazingira ya wao kujiajiri, waandalieni mitaji na muwapeleke wajifunze skills mbalimbali zinazohitajika kwa dunia ya sasa..haya mambo ya Soma ukaajiriwe kwa sasa hayapo!! Kosa si la hao vijana, bali ni umaskini wa wazazi wao na ukosefu wa maarifa.
 


Kuna kitu mkuu wa wilaya kasemannikashtuka kawambia. mwende mikoaaa mingjne tutawakamata

Nkajiuliza kwahio pale wamesamehewa ama....

Wana sehemu kubwa wamekodi na yale majengo sio ya mtu Fala ndugu usishangae wametoka
 
Alliance Global wamejaa wanawake weupee why

Mmoja alinletea issue za alliance nka mu alliance her pussycat
heshima ikatawala akaweka hanitumii good morning boss anatuma
Goodmorning daddy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…