johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mahakama kuu kanda ya Shinyanga imemuachia huru mwanachama wa Chadema Mhindu Kishabi na wenzake 4 waliofungwa jela miaka 3 kwa kosa la kuchoma moto kituo cha polisi huko Simiyu.
Kishabi alikuwa diwani na baadae aligombea ubunge jimbo la Kisesa
Mungu ni mwema wakati wote!
Kishabi alikuwa diwani na baadae aligombea ubunge jimbo la Kisesa
Mungu ni mwema wakati wote!