Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Wakuu,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Shinyanga. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Shinyanga una jumla ya majimbo ya uchaguzi 6 ambayo ni:-
Shinyanga Mjini -
Patrobas Katambi(CCM) - Kura 31,831
Salome Makamba(CHADEMA) - Kura 16,608
Solwa -
Ahmed Salum (CCM) - Kura
Kishapu -
Boniface Butondo (CCM) - Kura 54,864
Msalala -
IDDI KASSIM IDDI (CCM) - Amepita bila kupingwa
Ushetu -
KWANDIKWA ELIAS JOHN (CCM) - Amepita bila kupingwa
Kahama Mjini -
Jumanne Kishimba (CCM) - Kura 35,709
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Shinyanga. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Shinyanga una jumla ya majimbo ya uchaguzi 6 ambayo ni:-
Shinyanga Mjini -
Patrobas Katambi(CCM) - Kura 31,831
Salome Makamba(CHADEMA) - Kura 16,608
Solwa -
Ahmed Salum (CCM) - Kura
Kishapu -
Boniface Butondo (CCM) - Kura 54,864
Msalala -
IDDI KASSIM IDDI (CCM) - Amepita bila kupingwa
Ushetu -
KWANDIKWA ELIAS JOHN (CCM) - Amepita bila kupingwa
Kahama Mjini -
Jumanne Kishimba (CCM) - Kura 35,709
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.