Shinyanga: Mchungaji aliyeshtakiwa kwa kujaribu kulawiti mtoto afikishwa mahakamani

Shinyanga: Mchungaji aliyeshtakiwa kwa kujaribu kulawiti mtoto afikishwa mahakamani

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Harold Gamalieli Mkaro ambaye ni Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Makedonia Lubaga Manispaa ya Shinyanga amesomewa shtaka la kujaribu kulawiti mtoto wa miaka 6 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Shinyanga.

Agosti 24, 2022 Mchungaji huyo alifutiwa kesi namba 107 na Jamhuri katika Mahakama ya Wilaya ya Shinyanga kwa sababu za kisheria ambapo alikamatwa tena na kurejeshwa mahabusu alikokaa kwa siku 5 hadi Agosti 29, 2022 alipofikishwa Mahakamani kwa mara nyingine.

Mshtakiwa amekana shitaka hilo analodaiwa kulitenda Agosti 8, 2022. Upelelezi umekamilika, mshtakiwa alikwama kupata dhamana kutokana na mmoja wa watu wake kutokidhi vigezo, hivyo akarejeshwa rumande.

Kesi hiyo itaendelea leo Agosti 30, 2022 kwa Mahakama kuanza kuwasikiliza mashahidi 6.
 
Wanawake wote wa kumwaga wa sasa Mchungaji unataka kwenda kubaka mtoto. Si kujidhalilisha na kudharirisha huduma. Si bora ungewaambia waumini kuwa unatakiwa kusafiri then unaenda Shinyanga Mjini. Unajiokotea barmaid wako mmoja unamaliza shida zako na unarudi kuendelea na huduma na sio kubaka mtoto. Ashauriwe aoe huyo ili kupunguza nyege kama anashindwa kujitunza na kujizuia.
 
Wanawake wote wa kumwaga wa sasa Mchungaji unataka kwenda kubaka mtoto. Si kujidhalilisha na kudharirisha huduma. Si bora ungewaambia waumini kuwa unatakiwa kusafiri then unaenda Shinyanga Mjini. Unajiokotea barmaid wako mmoja unamaliza shida zako na unarudi kuendelea na huduma na sio kubaka mtoto. Ashauriwe aoe huyo ili kupunguza nyege kama anashindwa kujitunza na kujizuia.
Hapo alipo ni manispaa mjini
Angeenda tu hapo singida hakuna wa kumjua maana tabora kidogo ni karibu na shyng wala hutongozi unamvuta tu mwanamke wa kinyaturu na mkono
 
Wanawake wote wa kumwaga wa sasa Mchungaji unataka kwenda kubaka mtoto. Si kujidhalilisha na kudharirisha huduma. Si bora ungewaambia waumini kuwa unatakiwa kusafiri then unaenda Shinyanga Mjini. Unajiokotea barmaid wako mmoja unamaliza shida zako na unarudi kuendelea na huduma na sio kubaka mtoto. Ashauriwe aoe huyo ili kupunguza nyege kama anashindwa kujitunza na kujizuia.
Ukitaka kuwa maarufu kwenye Dunia hii, fanya mambo ya kumkufuru MUNGU
 
Wanawake wote wa kumwaga wa sasa Mchungaji unataka kwenda kubaka mtoto. Si kujidhalilisha na kudharirisha huduma. Si bora ungewaambia waumini kuwa unatakiwa kusafiri then unaenda Shinyanga Mjini. Unajiokotea barmaid wako mmoja unamaliza shida zako na unarudi kuendelea na huduma na sio kubaka mtoto. Ashauriwe aoe huyo ili kupunguza nyege kama anashindwa kujitunza na kujizuia.
Huo usharika wenyewe upo shinyanga mjini..nadhani atakuwa na ugonjwa wa akili.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Wanawake wote wa kumwaga wa sasa Mchungaji unataka kwenda kubaka mtoto. Si kujidhalilisha na kudharirisha huduma. Si bora ungewaambia waumini kuwa unatakiwa kusafiri then unaenda Shinyanga Mjini. Unajiokotea barmaid wako mmoja unamaliza shida zako na unarudi kuendelea na huduma na sio kubaka mtoto. Ashauriwe aoe huyo ili kupunguza nyege kama anashindwa kujitunza na kujizuia.
Ndugu yangu haya mambo ya ubakaji iwe kwa shekhe padre au mchungaji na hata hawa wanafunzi na wanaume walio kwenye ndoa hayo mambo mda mwingine ni visasi unategeshewa mtoto anakuja hata kwako mda ambao hakuna mtu basi shuhuli imeisha hapo hayo mambo sio ya kuyaamini sana dunia ya sasa imebadilika watu wanaishi na visasi.
 
Wanawake wote wa kumwaga wa sasa Mchungaji unataka kwenda kubaka mtoto. Si kujidhalilisha na kudharirisha huduma. Si bora ungewaambia waumini kuwa unatakiwa kusafiri then unaenda Shinyanga Mjini. Unajiokotea barmaid wako mmoja unamaliza shida zako na unarudi kuendelea na huduma na sio kubaka mtoto. Ashauriwe aoe huyo ili kupunguza nyege kama anashindwa kujitunza na kujizuia.
Ndugu yangu haya mambo ya ubakaji iwe kwa shekhe padre au mchungaji na hata hawa wanafunzi na wanaume walio kwenye ndoa hayo mambo mda mwingine ni visasi unategeshewa mtoto anakuja hata kwako mda ambao hakuna mtu basi shuhuli imeisha hapo hayo mambo sio ya kuyaamini sana dunia ya sasa imebadilika watu wanaishi na visasi.
 
Wanawake wote wa kumwaga wa sasa Mchungaji unataka kwenda kubaka mtoto. Si kujidhalilisha na kudharirisha huduma. Si bora ungewaambia waumini kuwa unatakiwa kusafiri then unaenda Shinyanga Mjini. Unajiokotea barmaid wako mmoja unamaliza shida zako na unarudi kuendelea na huduma na sio kubaka mtoto. Ashauriwe aoe huyo ili kupunguza nyege kama anashindwa kujitunza na kujizuia.
Makanisa yasipitishe wachungaji mabaaria
 
Mi naona napapoteuliwa viongozi wa dini either mchungaji au shekhe ,pawe na vetting ya maana wanapoleta habari za ajabu kama izi haileti picha nzuri kweny jamii zetu ,hususani dini imebeba mafundisho mazuri kabisa wao ndo Wana haribu

Wakipatikana na hatia ya kutenda makosa makubwa kama hayo basi Sheria kali ichue nafasi.
 
Kule kwetu miaka2000 Kuna mwinjikisit nae alikamatwaga na kupigwa vibaya sna kwa kumuomba kijana mmoja tigo yake ailawiti

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hizi kesi za namna hii hasa ulawiti zinapaswa kuangaliwa kwa umakini mno, wengi wa watuhumiwa wa kesi hizi huwa hawakufanya hayo matendo. Ni kesi mara nyingi za fitna baina ya mtu na mtu ili kumkomoa. Nimeshuhudia uonevu wa namna hii live! Kwa macho yangu na masikio na si kuambiwa.
 
Back
Top Bottom