Tetesi: SHINYANGA: Mke wa Wenje pamoja na rafiki wa Esther Matiko wafika na kugawa shilingi milioni moja kwa kila mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa CHADEMA

Tetesi: SHINYANGA: Mke wa Wenje pamoja na rafiki wa Esther Matiko wafika na kugawa shilingi milioni moja kwa kila mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa CHADEMA

Mbangaizaji wa Taifa

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
493
Reaction score
844
Anaandika kiongozi mwandamizi Mkoa wa Shinyanga.

"Habari za Usikuu wajumbe wa Mkoa wa Shinyanga na Kahama

Ugeni wetu umeingia tayari Ukiongozwa na Kaka yetu Sauti na Dada yetu Gimbi Massaba ambae ni mke wa kaka Wenje,

Tayari leo wamefika Viunga vya Kahama na wameanza Mipango ya Kukutana na wajumbe.

Makubaliano ni yale yale, SAUT na GIMBI wahakikishe wamewakatia 1M ya Kila mjumbe kama mzigo walivyopewa.

Msisahau Kazi yenu wajumbe ni Kula Machame na Kulala Ikungi.

Mungu awabariki sana Mkoa wa Shinyanga na Kahama mmejua kunifurahisha na kuwanyoosha .

Audio Clip zao tutaanza Kuzitoa baada ya Mwaka Mpya.

Good Job Watu wangu wa Nguvu.

Mkoa wa Shinyanga wajumbe wamekula yamini/Kiapo cha Utii Kukilinda chama Chao kwa gharama hata ikibidi ya Uhai wao,

Karibu sana kaka SAUTI ila kua makini sana unaweza Kupoteza ata huo Ujumbe wa kamati Kuu unaogombea ambao sisi
Mkoa wa Shy tuliokua tunakufikilia fikilia,

Dada Gimbi wamekupa kazi ngumu ya Kumuuza Mwamba hutaweza kwani hauziki tena,

Tunakuheshimu na tunajua wewe na SAUT mmeletwa Shinyanga na Kahama kwa kwa sababu wanajua tunawaamini.

Tunaomba kuwahakikishia kazi hii ngumu mmepewa pigeni hela mtembee,

Muhimu sana Fungu letu la 1M ya Kila mjumbe muliache maana ni haki yetu kutoka kwa Abdul

Asanteni sana Mkoa Shinyanga kwa kukihami chama chetu dhidi ya wasaliti hawa"



Mwisho wa kunukuu lakini labda tujikumbushe kidogo maneno ya Muasisi wa Taifa hili aliwahi kusema yafuatayo,

""Lazima tujiuluze Mtanzania wa leo hawezi kuwanunua hivi hivi watanzania wenzake kabla ya yeye kwanza kununuliwa, kama hakununuliwa amezipata wapi huyu?, kama kanunuliwa atalipa nini kwao? Kama kaomba atazirudishaje?, kama amezikopa atazlilipaje? "
 
Anaandika kiongozi mwandamizi Mkoa wa Shinyanga

"Habari za Usikuu wajumbe wa Mkoa wa Shinyanga na Kahama

Ugeni wetu umeingia tayari Ukiongozwa na Kaka yetu Sauti na Dada yetu Gimbi Massaba ambae ni mke wa kaka Wenje,

Tayari leo wamefika Viunga vya Kahama na wameanza Mipango ya Kukutana na wajumbe.

Makubaliano ni yale yale, SAUT na GIMBI wahakikishe wamewakatia 1M ya Kila mjumbe kama mzigo walivyopewa.

Msisahau Kazi yenu wajumbe ni Kula Machame na Kulala Ikungi.

Mungu awabariki sana Mkoa wa Shinyanga na Kahama mmejua kunifurahisha na kuwanyoosha .

Audio Clip zao tutaanza Kuzitoa baada ya Mwaka Mpya.

Good Job Watu wangu wa Nguvu.

Mkoa wa Shinyanga wajumbe wamekula yamini/Kiapo cha Utii Kukilinda chama Chao kwa gharama hata ikibidi ya Uhai wao,

Karibu sana kaka SAUTI ila kua makini sana unaweza Kupoteza ata huo Ujumbe wa kamati Kuu unaogombea ambao sisi
Mkoa wa Shy tuliokua tunakufikilia fikilia,

Dada Gimbi wamekupa kazi ngumu ya Kumuuza Mwamba hutaweza kwani hauziki tena,

Tunakuheshimu na tunajua wewe na SAUT mmeletwa Shinyanga na Kahama kwa kwa sababu wanajua tunawaamini.

Tunaomba kuwahakikishia kazi hii ngumu mmepewa pigeni hela mtembee,

Muhimu sana Fungu letu la 1M ya Kila mjumbe muliache maana ni haki yetu kutoka kwa Abdul

Asanteni sana Mkoa Shinyanga kwa kukihami chama chetu dhidi ya wasaliti hawa"

.
Huku ni kuchafuana baada ya genge la mpayukaji kugundua kura zinapatikana kwa wajumbe si club house.
 
Anaandika kiongozi mwandamizi Mkoa wa Shinyanga

"Habari za Usikuu wajumbe wa Mkoa wa Shinyanga na Kahama

Ugeni wetu umeingia tayari Ukiongozwa na Kaka yetu Sauti na Dada yetu Gimbi Massaba ambae ni mke wa kaka Wenje,

Tayari leo wamefika Viunga vya Kahama na wameanza Mipango ya Kukutana na wajumbe.

Makubaliano ni yale yale, SAUT na GIMBI wahakikishe wamewakatia 1M ya Kila mjumbe kama mzigo walivyopewa.

Msisahau Kazi yenu wajumbe ni Kula Machame na Kulala Ikungi.

Mungu awabariki sana Mkoa wa Shinyanga na Kahama mmejua kunifurahisha na kuwanyoosha .

Audio Clip zao tutaanza Kuzitoa baada ya Mwaka Mpya.

Good Job Watu wangu wa Nguvu.

Mkoa wa Shinyanga wajumbe wamekula yamini/Kiapo cha Utii Kukilinda chama Chao kwa gharama hata ikibidi ya Uhai wao,

Karibu sana kaka SAUTI ila kua makini sana unaweza Kupoteza ata huo Ujumbe wa kamati Kuu unaogombea ambao sisi
Mkoa wa Shy tuliokua tunakufikilia fikilia,

Dada Gimbi wamekupa kazi ngumu ya Kumuuza Mwamba hutaweza kwani hauziki tena,

Tunakuheshimu na tunajua wewe na SAUT mmeletwa Shinyanga na Kahama kwa kwa sababu wanajua tunawaamini.

Tunaomba kuwahakikishia kazi hii ngumu mmepewa pigeni hela mtembee,

Muhimu sana Fungu letu la 1M ya Kila mjumbe muliache maana ni haki yetu kutoka kwa Abdul

Asanteni sana Mkoa Shinyanga kwa kukihami chama chetu dhidi ya wasaliti hawa"

.
Umejiunga 25/12/2024 post zako zote ni kumzushia uongo Mbowe na kumpamba Lissu.
 
Wajumbe kuleni hiyo hela ya Abdul lakini kura kwa Lissu. Hiyo hongo ni kigezo tosha kuwa huyo mzee hafai kwani anatumiwa na CCM.

Hapo ndipo teamLISSU mnapofeli mnatoa shutuma bila ushahidi mwisho mnasema aliyewaambia ni hiyo habari ni marehemu mu. Kama Lissu na timu yake angekuwa na ushahidi wa yale anayokituhumu Chadema, wala asingetumia nguvu kubwa na kutafuta huruma ya wananchi kama ilivyo sasa. Bahati mbaya hana ushahidi na ameshindwa kujizuia kama ilivyo kwa wafuasi wake ni kuokoteza habari ambazo wala haziwezi msaidia mgombea wao.
 
Back
Top Bottom