Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Sio kijiti ni kijiti cha mhogo....hiyo nimeiskia Mwanza..unachukua mzizi au kijiti cha mhogo unakipachika kwenye via vya uzazi..naskia hutumii hata 30min unableed! Nili🙌!Uwiii mpaka nimesisimka jamani kujichokonoa na kijiti jamani hayo maumivu[emoji21][emoji37]
Ukimuuliza mwanafunzi mwenyewe am sure atasema alijiingiza kijiti cha mhogo ndo maarufu sana huko kwao!
Hawaendi hosp wala nini! Kijiti tu cha mhogo!
Ni maarufu kama mjini ilivyo postonal 2