Mindyou JF-Expert Member Joined Sep 2, 2024 Posts 1,869 Reaction score 4,877 Nov 27, 2024 #1 Wakuu, Wakiwa wanahojiwa kwenye kituo cha TVE wananchi wa mbalimbali wametoa maoni kuhusu nini hasa kinaendelea kwenye Uchaguzi. Mmojawapo wa wapiga kura alidokeza kwenye mtaa wake hakuna karatasi maalum za kupigia kura na badala yake karatasi za notebook zinatumika ====================================== Mbona kama mchakato umeingia dosari sana? Your browser is not able to display this video.
Wakuu, Wakiwa wanahojiwa kwenye kituo cha TVE wananchi wa mbalimbali wametoa maoni kuhusu nini hasa kinaendelea kwenye Uchaguzi. Mmojawapo wa wapiga kura alidokeza kwenye mtaa wake hakuna karatasi maalum za kupigia kura na badala yake karatasi za notebook zinatumika ====================================== Mbona kama mchakato umeingia dosari sana? Your browser is not able to display this video.
Greatest Of All Time JF-Expert Member Joined Jan 1, 2017 Posts 23,620 Reaction score 52,790 Nov 27, 2024 #2 Bao la mkono
F Full Blood Picture JF-Expert Member Joined Jan 7, 2021 Posts 2,223 Reaction score 3,961 Nov 27, 2024 #3 Hahaha. Wenyewe walisema maandalizi yamekamilika sana