Wazolee
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,183
- 3,660
Kama hiyo chanjo ni bure haina shida waje tu watuchanje ila kama ni ya kununua inabidi tukae nao chini kwanza tuongee
Walitengeneza HIV hadi Leo wanatuzia kondomu wameona haitoshi wanatuletea ugonjwa mwingine ili wafanye biashara nyingine ya chanjo
Walitengeneza HIV hadi Leo wanatuzia kondomu wameona haitoshi wanatuletea ugonjwa mwingine ili wafanye biashara nyingine ya chanjo