Dawa ya huu upuuzi wa Jiwe ni Tanzania kuwa ISOLATED KIMATAIFA....!!!Wacha tuone nani ataibuka mshindi au nani ataumia.
Serikali lazima ikubali kupokea chanjo na kama inakataa lazima kuwa na hoja za msingi sana za kushawishi kuwa sio chanjo bora au ina shida. lakini kuikataa tuu haitawezekana kwa sababu uchumi wetu na kila kitu kinategemea muingiliano wa watu ni lazima chanjo tukubali kwani hili ni jambo jema kwani tuna chanjo nyingi sana tumezikubali na zimeonesha ufanisi mkubwa.
Serikali kukataa chanjo ni kuua watu wasio na hatia.
Tumesaini mikataba mingi ya kimataifa lazima tukubali chanjo hii.
Swala la chanjo ni lazima.
😂😂😂Akili ndogo, ko kwa akili yako hakuna mwafrica anayeweza kufanya kitu ambacho hakuna aliyewah kukifanya?? StupidNimekagua maktaba ya Taifa kuona kama kuna Rais yeyote wa Afrika aliyewahi kupambana na the so called mabeberu akashinda. Aibu inamnyemelea Jiwe.
Tukiwa isoleted unahis Nan ataliaa, Watz uwezo wa kufikiria n mdgo , wanaongonzwa na hisia pamoja na ushabik, maombi yako yakitimia wewe, familia yako na ukoo wako probably mtadhurika sana na syo family ya kabudi, ndugai wala maguful, huwa sometimes nataman Mungu ajibu maombi ya Watz Kama wew ili ujinga uwatokeDawa ya huu upuuzi wa Jiwe ni Tanzania kuwa ISOLATED KIMATAIFA....!!!
Haiwezekani dunia nzima inahangaika kupambana na Corona wewe unapingana na Dunia ukisingizia vita VYA KIUCHUMI!!!!Yaani Jiwe anataka kutuaminisha Watz kuwa Uchumi wa Tanzania umepita ule wa Marekani, Uingereza,Japan, France, Russia n.k. Non-sense!!!!
Hatuangalii historia we mtu mwetu mweusi. Huyuu ndo atakuwa wa kwanza kushinda hao waume zako beberuru..alaf kizaz chako cha vilaza ndo kitaanza kutambua kuwa kuna rais wa africa aliewah kuahinda beberu.
Hatuangalii historia we mtu mwetu mweusi. Huyuu ndo atakuwa wa kwanza kushinda hao waume zako beberuru..alaf kizaz chako cha vilaza ndo kitaanza kutambua kuwa kuna rais wa africa aliewah kuahinda beberu
Sasa kama kachanjwa mbona watu wanasema kakimbia corona kwa kwenda kujificha chato?Anayeamini Jiwe hajachanjwa mpaka sasa ni taahira.
WHO ni mabeberu? And who is beberu?Waambie hatutaki huo msaada wa mabeberu, nchi hii ni tajiri sana[emoji23][emoji23]
Kati ya jiwe la chunvi na jiwe halisi?? Mbona mshindi anajulikana tayar. Walikuwepo viongozi mafedhuli kama kina Mugabe wapo wapi??? Shida ya bwana mkubwa ni kukosa exposure tu.Wacha tuone nani ataibuka mshindi au nani ataumia.
Duh!Serikali ikubali kupokea chanjo toka Russia na Cuba peke yake. Chanjo za nchi za magharibi wasizikubali kabisa.
wanaokubali Chanjo kwanini msipimwe kwanza maana huu ugonjwa wa awamu ya pili sio km wa awali😂😂😂Akili ndogo, ko kwa akili yako hakuna mwafrica anayeweza kufanya kitu ambacho hakuna aliyewah kukifanya?? Stupid
Mkuu unataman hata kumkoa kwenzi ndo hvo huwezi tuu😃Dawa ya huu upuuzi wa Jiwe ni Tanzania kuwa ISOLATED KIMATAIFA....!!!
Haiwezekani dunia nzima inahangaika kupambana na Corona wewe unapingana na Dunia ukisingizia vita VYA KIUCHUMI!!!!Yaani Jiwe anataka kutuaminisha Watz kuwa Uchumi wa Tanzania umepita ule wa Marekani, Uingereza,Japan, France, Russia n.k. Non-sense!!!!
Ko jiwe ana logic😀😀😀 hii chanjo hata Mimi imenishindaaaaaaawanaokubali Chanjo kwanini msipimwe kwanza maana huu ugonjwa wa awamu ya pili sio km wa awali
Mzalendo2015
View attachment 1689502
View attachment 1689503
Tatizo hyo chanjo wanayokuletea sidhan kama ndo hyo hyo wanayojindunga wao... Alaf hii chanjo Kwa nn iwe lazima tena kwenye eneo la watu ambao hawadhuriki kivile na Corona na hata sio chanzo...Kama hiyo chanjo ni bure haina shida waje tu watuchanje ila kama ni ya kununua inabidi tukae nao chini kwanza tuongee
Walitengeneza HIV hadi Leo wanatuzia kondomu wameona haitoshi wanatuletea ugonjwa mwingine ili wafanye biashara nyingine ya chanjo
Mimi naihitaji hiyo chanjo. Siungi mkono kauli tatanishi za wanasiasa.
Subiri kipimo kwanza unaingizwa pamba mtunduni alafu tunachukua sampleMimi naihitaji hiyo chanjo. Siungi mkono kauli tatanishi za wanasiasa.